Makapuku Forum

Makapuku Forum

1972 - Yanatokea mauaji ya kutisha katika michezo ya Olimpiki huko jijini Munich nchini Ujerumani.

Tukio hilo maarufu kama " Munich Massacre " lilifanywa na kikundi cha Wapalestina kilichojulikana kama Black September dhidi ya wanamichezo wa Israel.

Baada ya kuvamia kijiji cha Olimpiki, Kundi hilo la Black september likaua Waisrael na kuwashikilia mateka baadhi.

Hali iliyopelekea Shirika la Ujasusi la Israel, Mossad kuandaa Operesheni na kuwasaka wauaji wake wakiwa hai au wamekufa.

Ilikuwa ni Operesheni ya aina yake kuafanywa na Mossad chini ya kikundi hatari cha uuaji kijulikanacho kama KIDON.

Waliuwa wote waliohusika katika mauaji yale ya Munich.

Tafuta documentary iitwayo " Mossad The World's Most Killing Machine "ufaidi uhondo.
1473095342728.jpg
1473095365859.jpg
1473095386215.jpg
 
1972 - Yanatokea mauaji ya kutisha katika michezo ya Olimpiki huko jijini Munich nchini Ujerumani.

Tukio hilo maarufu kama " Munich Massacre " lilifanywa na kikundi cha Wapalestina kilichojulikana kama Black September dhidi ya wanamichezo wa Israel.

Baada ya kuvamia kijiji cha Olimpiki, Kundi hilo la Black september likaua Waisrael na kuwashikilia mateka baadhi.

Hali iliyopelekea Shirika la Ujasusi la Israel, Mossad kuandaa Operesheni na kuwasaka wauaji wake wakiwa hai au wamekufa.

Ilikuwa ni Operesheni ya aina yake kuafanywa na Mossad chini ya kikundi hatari cha uuaji kijulikanacho kama KIDON.

Waliuwa wote waliohusika katika mauaji yale ya Munich.

Tafuta documentary iitwayo " Mossad The World's Most Killing Machine "ufaidi uhondo.
Hii documentary ntaitafuta
Itakuwa tamu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom