Makapuku Forum

Makapuku Forum

1666 - Moto Mkubwa uliozuka Jijini London wazimwa.

Moto huo uliozuka kwa siku tatu uliteketeza maelfu ya majengo katika jiji hilo ikiwemo kanisa maarufu la kipindi hiko la Mtakatifu Paulo.

Pamoja na kuwa moto huo ulikuwa mkubwa sana, uliuua watu 6 tu.
1473093271082.jpg
1473093275151.jpg
1473093279068.jpg

Ni shida
......
 
1972 - Yanatokea mauaji ya kutisha katika michezo ya Olimpiki huko jijini Munich nchini Ujerumani.

Tukio hilo maarufu kama " Munich Massacre " lilifanywa na kikundi cha Wapalestina kilichojulikana kama Black September dhidi ya wanamichezo wa Israel.

Baada ya kuvamia kijiji cha Olimpiki, Kundi hilo la Black september likaua Waisrael na kuwashikilia mateka baadhi.

Hali iliyopelekea Shirika la Ujasusi la Israel, Mossad kuandaa Operesheni na kuwasaka wauaji wake wakiwa hai au wamekufa.

Ilikuwa ni Operesheni ya aina yake kuafanywa na Mossad chini ya kikundi hatari cha uuaji kijulikanacho kama KIDON.

Waliuwa wote waliohusika katika mauaji yale ya Munich.

Tafuta documentary iitwayo " Mossad The World's Most Killing Machine "ufaidi uhondo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom