Makapuku Forum

Makapuku Forum

1666 - Moto Mkubwa uliozuka Jijini London wazimwa.

Moto huo uliozuka kwa siku tatu uliteketeza maelfu ya majengo katika jiji hilo ikiwemo kanisa maarufu la kipindi hiko la Mtakatifu Paulo.

Pamoja na kuwa moto huo ulikuwa mkubwa sana, uliuua watu 6 tu.
Wallahi ingekuwa hapa bongo huo moto ungeua maelfu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom