Makapuku Forum

Makapuku Forum

Watu walionizunguka waling'amua kitambo vipaj vyangu.. Ila ndio hvyo tena iman yangu nikaisweka kwenye elimu, nikaamua nipige kitabu ndio mfumo wa kitz.. Vipaj vingine niliweza kuvigundua mwenyewe mpaka leo vipo, jinsi ya kupigia kazi ndio tabu..
Kupiga shule na kupotezea vipaji ndo mfumo tuliopitia wengi lakin kama umeshagundua vipaji vyako kikichobaki ni kuchukua hatua tu.. Take a gut bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom