makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,007
- 104,532
Theek achchaa samayTitche
![]()
![]()
Namaste
Titche
Mambo hayo.. Leo tumehamia hindustan.. Kuchi kuchi hot haeAap kaise hain?
Tuko bichi.. Tunapiga stori, tunachezea mchanga kidogo..
Kurudiana sahau cwt p..



Halafu ukanibeba hivi eti eeh?Kupiga shule na kupotezea vipaji ndo mfumo tuliopitia wengi lakin kama umeshagundua vipaji vyako kikichobaki ni kuchukua hatua tu.. Take a gut broWatu walionizunguka waling'amua kitambo vipaj vyangu.. Ila ndio hvyo tena iman yangu nikaisweka kwenye elimu, nikaamua nipige kitabu ndio mfumo wa kitz.. Vipaj vingine niliweza kuvigundua mwenyewe mpaka leo vipo, jinsi ya kupigia kazi ndio tabu..
Asante mwaya ntakuleteaMi nataka juice tu sasa
Enjoy your meals
Nehi nehi...Mambo hayo.. Leo tumehamia hindustan.. Kuchi kuchi hot hae
Kwa simu ni ngumu mno na mi maranyingi huwa natumia simu lakin pamoja na hayo bado naamini ntaitupia tuMi kazi nnayo maana sitakuwa na laptop ntatumia simu tu ila ntaipata
Umejuaje km nilikubeba hivyo... Cz ndivyo ilivyokuwa.Halafu ukanibeba hivi eti eeh?
Poa mkuuKupiga shule na kupotezea vipaji ndo mfumo tuliopitia wengi lakin kama umeshagundua vipaji vyako kikichobaki ni kuchukua hatua tu.. Take a gut bro
Nawe umo eehhNehi nehi...
Kimtindo![]()

Najua si tulikuwa tukienda unanibeba vile...bado nakumbukaUmejuaje km nilikubeba hivyo... Cz ndivyo ilivyokuwa.

I see...Najua si tulikuwa tukienda unanibeba vile...bado nakumbuka![]()
Mhhhh we ni muhindi! shem lake ni muhindi![]()




hapana, mi ni mzaramo wa pale majimatituHabari Cobblepots, karibu.