Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Huko nitoe, cima mudi ya kuoa mjane..samahani ni mtalaka





Huyu kivuruge huyu!!





Huko nitoe, cima mudi ya kuoa mjane..samahani ni mtalaka





Huyu kivuruge huyu!!





Kama unamaanisha mwendokasi wa dsm siko huko sa hivi lakini maisha yanasonga tu kwa ujumlaSalama Mkuu, maisha ya mwendokasi yanasemaje?
Daaah najiuliza sana kilichomtoa mtani wako tena wew ukiwa kwaousiniogope mkuu, ni nguvu ya ushawishi tu hakuna aliyerogwa
Naona anarudi Mdogo Mdogo
Inabidi asimame asee kama mwanaumeCi wajua kuna wanaume na wavaa suruali?
Utawagundua wakikutana kikwazo kidogo wananuna
Kuja kwenye empire ya city boy
Yamekuwa hayoMwanamke mnafk wewe.. Nmekwambia jiandae twende kwa mkweo anakuhtaji ukavunga vunga, kumbe nia na madhumun upate kutoka na Quigley....
Sasa chukua kila unachoona kinakufaa na unachoweza kubeba ondoka navyo.. Mie niachie roho yangu tu na nyumba yangu, napiga simu hone shemej yako alete ile canter ubebe unavyovihitaji nikusindikize nyumban..![]()
![]()
![]()
![]()

Anacheza mpira wa kiduanzi sana...Na kweli yule mnyama... Tena mnyama mwitu,maana wanyama wa nyumban hawana tabia mbov kama yule
Mimi hukunikosea cwt p thts y sina ugomv wala chuki nawe.. Ulifanya kitu sahihi kwa moyo wako.. Hope ulifanya chguo sahihi.. Nimeheshim maamuz yako.
Namwogopa briz balaaa





mkuu usije kunipotezea na bahati nyingine huko mbele, usiwatishe warembo banaYup....Yamekuwa hayo![]()
![]()
![]()
Alaaa kumbe!!Leo nimeokota jiwe linafanana na dhahabu
Naombeni ushauri
..........
Yap, huyo anafaaNi me
Briz wa watu na Avatar yake ya mvuto....mkuu usije kunipotezea na bahati nyingine huko mbele, usiwatishe warembo bana


Briz nae alijipatia umaarufu sana alivyoweka ile Avatar mpyaa, anajua kusoma alama za nyakati.





kumbe avatar nayo inashawishi... I never knew this kwa kweli 

Ndumilakuwili na kikofia chake kishasikiaAlaaa kumbe!!
Ngoja waje wakushauri