Makapuku Forum

Makapuku Forum

I will never evr fight for a love, utapigania upendo pale unapopendeka, kupigania upendo usipopendeka, ni kupiga hatua kuelekea kaburin, yaliyopita yamepita ndugu yangu, thats history, mapenz sahihi ni watu wawili wenye mawazo sawa A ampende B na B ampende A, ikitokea mmoja tu ha'feel the same hayo hayatakuwa mapenzi zaid ya majonzi. Ni faraja anaondoka sijawahi mpiga wala mtukana zaid ya kumtreat better kuliko alivyowahi, that proves am a gentlemen

Mapenzi yameniumbua, ninachoshukuru hayajaniua.
Aaah Aaah Aaah kwanini usitunge kitabu cha riwaya za malavi davi??? Vipaji vinapotea!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom