Makapuku Forum

Makapuku Forum

I will never evr fight for a love, utapigania upendo pale unapopendeka, kupigania upendo usipopendeka, ni kupiga hatua kuelekea kaburin, yaliyopita yamepita ndugu yangu, thats history, mapenz sahihi ni watu wawili wenye mawazo sawa A ampende B na B ampende A, ikitokea mmoja tu ha'feel the same hayo hayatakuwa mapenzi zaid ya majonzi. Ni faraja anaondoka sijawahi mpiga wala mtukana zaid ya kumtreat better kuliko alivyowahi, that proves am a gentlemen

Mapenzi yameniumbua, ninachoshukuru hayajaniua.
Pengine ni kweli usemacho braza lakin mapenzi ya kupendwa tu bila kupigania huwa hayanogi bana, endelea tu kukomaa mbona mtoto anakuelewa sana.. Quigley hawezi kuwa kizuizi namna hiyo afu cha kugombania siku zote ndo kitam man
 
Hana lolote kiazi tu huyo.. Muuza makande tandale kwa tumbo..
Haya Bitoz huyo nmemshika mkono amekuja kujibu tuhuma
1473013905710.jpg
 
Haya nenda bibie.. Nakutakia kila la kheri kwenye maisha yako, mungu akuongoze, akuepushe na kila lenye shari...

One thing u must know"i aint mad at cha"... Wish u all the best, sikuchukii, ukikwama usihofie kunitafta..

Nakupa last hug.
Duuu ndio yamewafika hapa???
I feel sorry kwa my twin sis sweetiepie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom