shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Atakula tuHeheheeee.....ataweza kula ugali wa udaga mgumuu na nyama isiyoungwa asubuhi asubuhi?!!
Atakula tuHeheheeee.....ataweza kula ugali wa udaga mgumuu na nyama isiyoungwa asubuhi asubuhi?!!
Hahaha aisee, sasa we ukisusa wenzio wanakula bob

Naona anasarenda mapema sanaLazima apigane
Ni njema sana mkuu, habari ya wewe?Nawasalimu sana, habari za kitambo wandugu..
Mwamme asiyepambana juu ya ampendaye ujue hata akikuoa ukiugua ataoa mwingine,Harudi tena huyo...nilikuwa nachat na Quigley tu Quigley akanambia ananipenda nikamjibu mimi pia. Basi hapo ndio majanga yalipoanzia![]()
Tayari nimeachana naye anyway...japo inauma for a short period of timeMwamme asiyepambana juu ya ampendaye ujue hata akikuoa ukiugua ataoa mwingine,
Mshiti huyo


I mean mwanaumeMwamme asiyepambana juu ya ampendaye ujue hata akikuoa ukiugua ataoa mwingine,
Mshiti huyo
Mhh!! yan kosa ni hilo tu? Labda kuna lingine mana huwa naona mara zote mnataniana na QuigleyHarudi tena huyo...nilikuwa nachat na Quigley tu Quigley akanambia ananipenda nikamjibu mimi pia. Basi hapo ndio majanga yalipoanzia![]()
Hivi ile simu SM-G361H nilokununulia bado unayo au ulimhonga kikongwe makavel0-Tayari nimeachana naye anyway...japo inauma for a short period of time
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Jonax amefurahi! ana matumainiYup nimeachika..![]()

Nyingine hyo nikiwa ktk pigo la ki-gangsterNdio yeye kweli huyo...ila tu ameitengeneza imekuwa mbayaaaa
Sweetpie ni musukuma???Cc sweetiepie

.Salama Mkuu, maisha ya mwendokasi yanasemaje?Ni njema sana mkuu, habari ya wewe?
Mwamme asiyepambana juu ya ampendaye ujue hata akikuoa ukiugua ataoa mwingine,
Mshiti huyo

Umeona eeee
Hivi ile simu SM-G361H nilokununulia bado unayo au ulimhonga kikongwe makavel0-

Briz alipambana juu ya jimena, hadi akaenda kumloga sczeceny alikozaliwa huko Iringa, hadi jamaa angu akajitoa jf mazima, very sad.
Briz nakuomba usijetamani mke wangu usijenitoa nami humu aisee
