shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kuna kitu kinamsumbua, sio wewe lakiniNilidhani alielewa ulivyomwambia aniache nipumzike![]()
Kuna kitu kinamsumbua, sio wewe lakiniNilidhani alielewa ulivyomwambia aniache nipumzike![]()
Mzee sana yule hawezi kuwa 89Acha kumzeesha amezaliwa 1989
KwelAaah Aaah Aaah kwanini usitunge kitabu cha riwaya za malavi davi??? Vipaji vinapotea!!!
Nataly- Forgive Me (Lyrics):
The night will be long without you my darling, please forgive me. I guess this will be my last shot.
Weka pichaWenye timu yao sasa
NtakufuaaaaKatawaze kwanza.
![]()
![]()
![]()
..........
Sawaaaa.....Pigania kile unachopaswa kupigania, usithubutu kupigania kile kisicho na thaman ya kupiganiwa. Utazikwa mapema
Kamuona Ngedere kachukua nafasi yake kwenye list ndo kaamua kukesha hadi amtoe
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Usishangae sana sasa....
KumbeeSizitaki mbichi hizi
Huko nitoe, cima mudi ya kuoa mjane..samahani ni mtalakaNimeona niwaambie, maana ukigeuka huku werrason huku Jonax kule makaveli kwa mbali Quigley
Wala simtakiPambana wew unayependwa..
Uko sahihiKama ukikutana nae mtaan halaf hujui kama beyonce waweza hata salam ukamnyima.
Karibu TwinAsante sana kwa burudani nzuri sana kutoka kwa Brian
KweliSizitaki mbichi hizi
Sizitaki mbichi hizi

Briz alipambana juu ya jimena, hadi akaenda kumloga sczeceny alikozaliwa huko Iringa, hadi jamaa angu akajitoa jf mazima, very sad.
Briz nakuomba usijetamani mke wangu usijenitoa nami humu aisee





usiniogope mkuu, ni nguvu ya ushawishi tu hakuna aliyerogwaMimi hukunikosea cwt p thts y sina ugomv wala chuki nawe.. Ulifanya kitu sahihi kwa moyo wako.. Hope ulifanya chguo sahihi.. Nimeheshim maamuz yako.


