makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,597
Sana.. Ana malengo mazuri tatzo si msikvu halaf ni mtu wa kukurupuka..Mkuu mwisho wa ubabe ni aibu kubwa.
Ninachomuunga mkono ni kutawataka watu wachape kazi, zaidi ya hapo ni 0000000-
Wivu wa nin tena!!Umerusha music mkali hadi nkaona wivu
Naskia alimfundisha hesabu kingunge ngombale mwiru.. Wakat kingunge st 4 diego costa alikuwa LY
Kuna msemo wa KABILA flani la WAMERU wanasemaga "(kana ka kweendee) maana yake..MDOMO utakuleta madhara ukiutumia vibayaSana.. Ana malengo mazuri tatzo si msikvu halaf ni mtu wa kukurupuka..
Sikia baby usifikirie vinaya...Mwenyezi Mungu alituagiza upendo mbona hivyo lakini!!! binadamu tupendane.


Huyu baba j angefaa kutumwa ni mchapa kazi mzuri lakini sio uongozi narudia ni zero minusSana.. Ana malengo mazuri tatzo si msikvu halaf ni mtu wa kukurupuka..
List pambo tuMbona sipo kweye list
Nami nimejibu uelekeo huo huoKupendana kwa watz ni muhim labda uhoji aina ya upendo
![]()
![]()
![]()
![]()



Ndo ujue huyu mtu sio wangu, you are the only one jamani trust me.Wivu wa nin tena!!
Natamani angenitumia peke yangu na sio familyWivu wa nin tena!!
Hivyo tenaSana.. Ana malengo mazuri tatzo si msikvu halaf ni mtu wa kukurupuka..
Huyu sio mbung'o kweli huyu anaesumbuaga mifugo!!![]()
Mdudu gani huyu?
Zawadi ya kambale itatolewa
........
Mwanamke mnafk wewe.. Nmekwambia jiandae twende kwa mkweo anakuhtaji ukavunga vunga, kumbe nia na madhumun upate kutoka na Quigley....Si ameondoka hajaniaga! akirudi atakuta mi wa mwingine...shauri zake.

Iq yako iko juuNami nimejibu uelekeo huo huo![]()
Hakukani wala usijali...Kuna ujumbe wangu humo eti eehlakin 123 akija si hautonikana eeh?