Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,295
Ci wajua kuna wanaume na wavaa suruali?Mhh!! yan kosa ni hilo tu? Labda kuna lingine mana huwa naona mara zote mnataniana na Quigley
Utawagundua wakikutana kikwazo kidogo wananuna
Ci wajua kuna wanaume na wavaa suruali?Mhh!! yan kosa ni hilo tu? Labda kuna lingine mana huwa naona mara zote mnataniana na Quigley
Nataly- Forgive Me (Lyrics):
The night will be long without you my darling, please forgive me. I guess this will be my last shot [emoji22][emoji22].
Yaani nimemdediketia wimbo anisamehe...ikiwa kama last shot yangu...ikishindikana basi tena....[emoji15]Mhh!! yan kosa ni hilo tu? Labda kuna lingine mana huwa naona mara zote mnataniana na Quigley
Eti wewe jina lako jingine ni kivuruge[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Umeona eeee
Daaaah....[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Hivi ile simu SM-G361H nilokununulia bado unayo au ulimhonga kikongwe makavel0-
Mhhhhhhhh.....[emoji32][emoji32][emoji32]Jonax amefurahi! ana matumaini[emoji23]
[emoji53] je na mm naruhusiwa kuomba nafasi ya kazi(love)?Yup nimeachika..[emoji22][emoji22][emoji22]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Briz alipambana juu ya jimena, hadi akaenda kumloga sczeceny alikozaliwa huko Iringa, hadi jamaa angu akajitoa jf mazima, very sad.
Briz nakuomba usijetamani mke wangu usijenitoa nami humu aisee
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Ci wajua kuna wanaume na wavaa suruali?
Utawagundua wakikutana kikwazo kidogo wananuna
Divide and rule ndo tabia yangu, nimerithi kwa mkoloni...unisome kuanzia leoEti wewe jina lako jingine ni kivuruge[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Well it's more like last try...last chance etc. Nimetumia lugha ya ki movie zaidi. [emoji3][emoji3]But don't kill him[emoji23]
Hatareeeeee sanaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sijui kwa kweliSweetpie ni musukuma???
We mukongo nae unataka kuharibu sasa hadi huku!![emoji23][emoji23][emoji23]Eti wewe jina lako jingine ni kivuruge[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Iseeeeeee!Mwamme asiyepambana juu ya ampendaye ujue hata akikuoa ukiugua ataoa mwingine,
Mshiti huyo
Namwogopa briz balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jaribu bahati yako[emoji53] je na mm naruhusiwa kuomba nafasi ya kazi(love)?
Ili nilete stakabathi zangu
KaribuTayari nimeachana naye anyway...japo inauma for a short period of time [emoji15][emoji15]
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Hivi ile simu SM-G361H nilokununulia bado unayo au ulimhonga kikongwe makavel0-
Kweli kabisaJonax amefurahi! ana matumaini[emoji23]