shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mko vizuri, Safi sanaVery true, hata mi primary nlikua nachora sana na kuna kipindi nilienda mpaka mashindano ya kimkoa judge alikuaga masoud kipanya lakin baadae nlijikuta nimeacha baada ya kukomaliwa niconcentrate na shule




