Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kawaida
Yangu Primary nilikuwa namsaidia ticha kuchora mfano ramani ubaoni n.k
Bongo vipaji vinajifia tu
..............
Very true, hata mi primary nlikua nachora sana na kuna kipindi nilienda mpaka mashindano ya kimkoa judge alikuaga masoud kipanya lakin baadae nlijikuta nimeacha baada ya kukomaliwa niconcentrate na shule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom