Kwei,Ngumu kumpata kama de lima, wasubiri sana, yupo R9 mmoja tu dunian, nahisi alipoumbwa hakukubaki sample yake..![]()
![]()
![]()
Mambe mengi mme wangu hadi basi, poa tufanye twende kwa wakwe nimewamiss sana kwakweli...kuhusu mama jana tu nimeongea nae jamani lolDah.. Siku hizi mambo mengi mpaka nasahau, mkweo ameniambia kakumis, so jiandae jumapili tunasafari ya kigamboni, mkweo akakuone
Then jana nilipitia home kuona wakwe zangu, mama anasema umemsusa wiki nzima hujamtafta.. Alinitania kwa kusema mimi ndio nmekuwa mwanae mzur, wewe umemgwaya..

...unajua anakupenda sana nadhani alikuwa excited tu kuongea na wewe.Sasa hiyo British ascent ilikuwa ina umuhimu kiasi hicho?! duuuh
Aja aje luvbird wanguView attachment 392010View attachment 392011View attachment 392012
Kwa hisani ya 95k toka kwa makaveli10 sina la ziada.
Naitwa Jimena Jimenes nawatakia week end njema
T G I F


Haha ni kweli kabisa mkuu, nishatafuta solutionBaridi la usiku zuri ni rahisi kulidhibiti
Sikuwah kujua kama huyu jamaa ni muingereza1965 - Lenox Lewis anazaliwa.
Ni bondia wa zamani wa uzito wa juu toka nchini Uingereza.
Ilete kwakweliNaomba nawaletea nukuu ya leo kwa muda huu, nimepata nafasi
Sijui kama huku TZ wamalijua hilo...NUKUU NO 1#
Ni muhimu madeni yalipwe lakini si lazima yalipwe kwa garama kubwa inayosababisha njaa kwa wananchi,
Dunia ni lazima iwe na uwazi wenye misingi ya demokrasia katika kusaka maelewano yatakayozaa muundo wa ulipaji wa madeni ya kimataifa
Haya yalisemwa na Cristina Elisabet Fernandez de Kirchner, aliyekuwa Rais wa Argentina kuanzia mwaka 2007 hadi 2015
Mwana mama huyo alizaliwa Feb 19,1953
Ni mjane wa Rais wa zamani wa Argentina, Nestor Kirchner na ni mwanamke wa pili kushika wadhifa wa Rais Argentina, akitanguliwa na Isabel Martinez de Peron, aliyeshika wadhifa huo mwaka 1974 hadi 1976
Tz na mabadiliko bado sanaNUKUU NO 2#
Nia ya Tanzania ni kuona kwamba usawa wa watu wake unafikiwa katika saisa yake ya ujamaa
Lakini watu wasitegemee maajabu makubwa kuwa siasa ya usawa itafikiwa kwa muda wa siku moja, ikiwa watanzania wanataka maendeleo ya nchi Yao lazima wakubali mabadiliko yanayotokea
Haya yalisemwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es salaam Dec 9,1971.
Mwalimu alizaliwa April 13,mwaka 1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999 jijini London Uingereza alikokuwa akitibiwa
Nawe pia ijumaa njema!Sina la ziada kwa hisani ya mzee wa mapicha picha bitoz, ijumaa njema
Na kwako piaIjumaa kareem waungwana!!
Hawatasahu daima. . wakabaki kutuongopea na movie zao.. Viumbe wajanja sana wale.



