Nimelazwa nna presha tangu...
jana maana siamini kama mzee wa kumi kubwa anatoka humu. 

Jana nilivyoona tu nikapata presha ghafla...kaz yenyewe sina tena![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I will mc u szczesny.. Hiiii... Hiii..![]()
![]()
wap ntapata 10 bora mimi.. Unaniacha na nyangema mzee wa kata k..
Cwt"p" come here boss wako anaondoka.![]()
![]()
![]()

.Daaaah..So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!



Hahaha
I'll miss u mkuu
Mambo ya babu mkombe![]()
Take care of her
Hahaha by the way i was calling her swt p , then na wew una muita kifupi
Salute mzazi




Yaani ila nashukuru ameaga angeondoka kimya kimya sinui ingekuaje...Pouwa, Szczesny anaondoka anaenda kwao Somalia
Cc: JimenaJimena jamaa yetu anaondoka aisee.
Ni kweli kabisaKF ndo thread inayofuatiliwa zaidi JF
*Top 10
*Leo ktk historian
*Magazeti
Ndo segment 3 bora kwa kufuatiliwa
...................
OhoooooHuyu binamu ananipa mashaka, kuna kauli alikuwa akiziongea kabla ya sept mosi, mara anatoa urithi kabla ya siku ya ukuta.
Na leo 2 days before hiyo ck anatuaga???????





Barikiwa dadaView attachment 390130View attachment 390131View attachment 390132
Mpaka hapo basi sina la ziada kutoka katika magazeti ikiwa basi ni kumbukumbu maalumu ya Szczesny Carenza
Niite Jimena Jimenes na muwe na siku njema yenye mafanikio tele
Umeongea ukweli lakinJamn huyu kaka afunguke labda kuna kitu nyuma ya pazia...tuko tayari kuwa naye bega kwa bega naye hata kule pm.
Naunga dots tangu last week kuna namna alikuwa akopost akiaina na leo ndo kamalizia hivi