Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Uko poa rafikiUmeongea ukweli lakin
Uko poa rafikiUmeongea ukweli lakin
Jimena nashukuru kwa magazetiView attachment 390130View attachment 390131View attachment 390132
Mpaka hapo basi sina la ziada kutoka katika magazeti ikiwa basi ni kumbukumbu maalumu ya Szczesny Carenza
Niite Jimena Jimenes na muwe na siku njema yenye mafanikio tele
Take t easy mamaaaNiko hovyooo....![]()
AmenBarikiwa dada
KaribuJimena nashukuru kwa magazeti
Kumbe ndo waliokuwa wamewatawalaLeo katika Historia:
1945 - Hongkong yajikomboa toka kwa Japan

Vijembe vimesaidia kuwanyoosha "wazinguaji"Pamoja na yote bado unajukumu la kusimamia huu uzi, ongeza ubunifu, manjonjo, na pia nafurahi kuwa ulipoona wengine kama tunaadimika ulikava pengo na kulisongesha, jepo una vijembe havina madhara maadam tumefahamiana na shabaha yetu ni kuudumisha mshikamano na kuufanya uzi huu uwe na manufaa.
Kf ni zaidi ya chitchat kwani sasa kuna mambo mengi ya kuelimisha na kuburudisha...mkuu jitahidi usikate tamaaa.
Usisahau kuwa tofauti na changamoto ni sehemu ya kuboresha umoja wetu.
Jipe moyo
Simama kiume
Ukijua kaz hii yakuhusu

Happy Birthday Cameron1972 - Cameron Diaz anazaliwa.
Ni mwanamitindo na producer toka nchini Marekani.
Hivi sasa si iko chini ya mchina au nakoseaLeo katika Historia:
1945 - Hongkong yajikomboa toka kwa Japan
yap iko chini ya China.Hivi sasa si iko chini ya mchina au nakosea
NdiiooKumbe ndo waliokuwa wamewatawala![]()
Vijembe vimesaidia kuwanyoosha "wazinguaji"
Jambilo ndo anaongoza kwa kupigwa vijembe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.................

Weka pichaNdiioo
Thanks my kakaa niko okay...si unajua watu mnazoeana kama hivi tulikuwa na movie yetu hivi ghafla imeisha aisee. Ilikuwa inapeleka uzi sanaTake t easy mamaaa