KF ndo thread inayofuatiliwa zaidi JFNi kweli ziligusa watu wengi, mimi nilikuwa nafanya kazi mahari, nikakuta watu wanasimuliana jinsi watu walivyokuwa wanauwawa Enzi hizo na kuoneshana picha, mimi nikawa nawacheki tu
Ooh jamaniKaribu kwenye top tena kama kawaida yetu ya kila siku
Ila leo napenda kutumia fursa hii kuwaambia woote mlokuwa mna sapot segment hii ahsantemi sanaa, na now Szczesny ataondoka JF na kuendelea na maisha mengine, nilipenda ni tufike wote kwenye 100 k but i wish you guys the best sta potea KF tuu ila napotea JF kwa ujumla and nawakubali sana wakuu kwa miez takriban mi 3 au 4,ya kuwa pamoja kama familia ahsanteni sana sanaa.
So nta shusha kumi kali za mwisho then i think tuta agana, then ntaweka rekodi ya kuwa member aliye aga JF(stupid me).
Twende kazi

Kuna togwa & vishomboKuna nini humu?????? mbona kumechangamka sanaaaa????????
Mkuu unatania au!So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!
Kazi maalumhahaha...jasusi!! Amefanikisha kile kilichomleta. Mission Completed!!
That's my uncleSiwezi kuwa hivyo, sikutaka wakuingilie kwenye anga zako
Wa kawaida sanaaaNumber 1, Romanian Army View attachment 389965 hawa mi skubali kwamba ndo namba moja, ila vyanzo vyangu vina niambia et hawa ndio wana wana wake wenye vutoo zaid kwenye jeshi lao, wakati ukraine ikiwa ni taifa lina lo onekana la ajab ajab huko ulaya, na lililo pitia misukosuko nyingiii, lakin ndo hvo bhana mungu hakunyimi vyote nao wame jikamatia nafas ya kwanza kwa wanawake wenye mvuto, how comes wameongoza mimi shjui, ndio mteembee sasa mkaone wenyewe kama twadanganywa ama neeneeee!!!
hahahahKazi maalum
KweliBriz yupo offline week ya pili sasa
Km asipopatikana mjanja wa kuendeleza nitajaribu mimi
Km mzembe fulani niliyeendeleza segment yake
![]()
![]()
![]()
![]()
............
Asante sana kwa muda wote ambao tulikuwa pamoja.So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!
Ahsante!! Napendaga sana Liberian Girl ambayo ni dedication to Elizabeth Taylor ambaye alikuwa rafiki wa karibu sana wa MJ.Mi napenda zoteee
Ila zaidi ni
Will you be there
Your not alone
Liberian girl
Remember the time
Black or white
Weka pichaUchochezi tu wa dikteta musso
Yamekaa kichocheziMajina yao saaasa
Kama Mark MwandosyaKazi maalum
Me too my shemThemejiii
Mcd yuui

Miss u wifi.My wii
Habar ya cku mingi??
Happy to see you![]()
![]()
Mkuu unaweza sana na uko active sana hapa sio kama wengine tunadonoaNikipata muda nitakuwa naandika halafu nazisevu.......lakini napendekeza anayeweza akurithi coz mimi nina ishu nyingi KF
lkn ikishindikana nitazileta mwenyewe
...................
Mie niko mzima sanaMiss u wifi.
Habari ya wewe?