Makapuku Forum

Makapuku Forum

So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum

Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma

Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real

Top ten is out!!!
Asante sana, tutakumbuka sana uwepo wako hapa kapuku

Na tutakumis sana sana

Kila la heri katika maisha ya hapa duniani
 
So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum

Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma

Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real

Top ten is out!!!
U wll alwayz b in our heart.
 
Brother mbona hii aga yako siielewi-elewi hivi?
Unaenda wapi?
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell

Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini

In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
 
Pia ww ni miongoni mwa wajanja mliosababisha thread ifuatiliwe hadi na Vingongo
Kuondoka kwako ni changamoto
Mungu akubariki
.......................,..
Thanks sana mkuu thread hii ime nisaidia sana pia
Nme elimika
Nime cheka
Nime enjoy
Nme pata updates kibao
Yaliyo anza muyaendeleze watu wapya wana kuja kila day hapa

Kama barca ana toka mtu ana ingia mtu.
Mungu akubariki mkuu
 
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell

Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini

In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja

Daah! basi ndugu yangu nikutakie kila la kheri,
Binafsi ntakukumbuka sana.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom