Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]

I will mc u szczesny.. Hiiii... Hiii.. [emoji24] [emoji24] [emoji24] wap ntapata 10 bora mimi.. Unaniacha na nyangema mzee wa kata k..

Cwt"p" come here boss wako anaondoka. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha
I'll miss u mkuu
Mambo ya babu mkombe [emoji3]

Take care of her

Hahaha by the way i was calling her swt p , then na wew una muita kifupi
Salute mzazi
 
So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum

Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma

Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real

Top ten is out!!!
Asante sana, tutakumbuka sana uwepo wako hapa kapuku

Na tutakumis sana sana

Kila la heri katika maisha ya hapa duniani
 
So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum

Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma

Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real

Top ten is out!!!
U wll alwayz b in our heart.[emoji24] [emoji24]
 
Yes
Nilijua briz atakuepo, alipenda sana hii kitu, but any one aiendeleze
Ni mali ya kapuku ila mimi ni muanzilishi tuu
Mbio za vijiti hzi
Briz yupo offline week ya pili sasa
Km asipopatikana mjanja wa kuendeleza nitajaribu mimi
Km mzembe fulani niliyeendeleza segment yake
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
............
 
Brother mbona hii aga yako siielewi-elewi hivi?
Unaenda wapi?
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell

Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini

In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
 
Pia ww ni miongoni mwa wajanja mliosababisha thread ifuatiliwe hadi na Vingongo
Kuondoka kwako ni changamoto
Mungu akubariki
.......................,..
Thanks sana mkuu thread hii ime nisaidia sana pia
Nme elimika
Nime cheka
Nime enjoy
Nme pata updates kibao
Yaliyo anza muyaendeleze watu wapya wana kuja kila day hapa

Kama barca ana toka mtu ana ingia mtu.
Mungu akubariki mkuu
 
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell

Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini

In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja

Daah! basi ndugu yangu nikutakie kila la kheri,
Binafsi ntakukumbuka sana.....
 
Back
Top Bottom