Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HahahahaUsiite mukongo! ....usalama wa taifa atanikamata wakati mi ni mupale![]()
Ntakumataje wakat hata sjui uko wap

HahahahaUsiite mukongo! ....usalama wa taifa atanikamata wakati mi ni mupale![]()

Mkwe ni heshima yangu kuwa na mtu kama wewe hapa JF nyie ndo mme fanya ni enjiy hapaMkwe hapo huwa nakukubali sana (ukilo)
EnheeeeHawa si ndiyo ulikutana nao kule kwa wakuridi
Hahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I will mc u szczesny.. Hiiii... Hiii..![]()
![]()
wap ntapata 10 bora mimi.. Unaniacha na nyangema mzee wa kata k..
Cwt"p" come here boss wako anaondoka.![]()
![]()
![]()
Asante sana, tutakumbuka sana uwepo wako hapa kapukuSo guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!
Ahsante mkuuTunaheshimu maamuzi yako
Ww Ni miongoni mwa vichwa vyenye faida
Kila la kberi
Tunashukuru kwa yote
.........................................
YesMtu mwingine ataweza kurithi(japo atapwaya)
Kitu kizuri ni kwamba kaaga
Life goes on
.....................
Pamoja sana mkweMkwe ni heshima yangu kuwa na mtu kama wewe hapa JF nyie ndo mme fanya ni enjiy hapa
Ahsante sanaa
Pia ww ni miongoni mwa wajanja mliosababisha thread ifuatiliwe hadi na VingongoAhsante mkuu
Nashukuru kwa luv mlo onesha
Nakukubali sana kwa kuanzisha hii kitu na hauja ikimbia, keep it up
Lisongeshe mkuu
Hahaha
Mi mtu wa kawaida mkuu
Nisinge weza kuwa KF milele
I just wanted to give u guys proper good bye
Thats what real frndz do
Ntakumiss mkongooo have a nyc life here
And be funny![]()
Thanks Baba mkweAsante sana, tutakumbuka sana uwepo wako hapa kapuku
Na tutakumis sana sana
Kila la heri katika maisha ya hapa duniani
U wll alwayz b in our heart.So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!

Briz yupo offline week ya pili sasaYes
Nilijua briz atakuepo, alipenda sana hii kitu, but any one aiendeleze
Ni mali ya kapuku ila mimi ni muanzilishi tuu
Mbio za vijiti hzi
KisimaniBrother mbona hii aga yako siielewi-elewi hivi?
Unaenda wapi?
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewellBrother mbona hii aga yako siielewi-elewi hivi?
Unaenda wapi?
Haahaaa nimecheka sana.Kisimani
![]()
![]()
......... .....
Thanks sana mkuu thread hii ime nisaidia sana piaPia ww ni miongoni mwa wajanja mliosababisha thread ifuatiliwe hadi na Vingongo
Kuondoka kwako ni changamoto
Mungu akubariki
.......................,..
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell
Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini
In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
U wll alwayz b in our heart.![]()
![]()