eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Nimechoka kabisa na siasa za tanzania
Tunajengeana chuki bila kujijua
Tunajengeana chuki bila kujijua
hahahah...Usiite mukongo! ....usalama wa taifa atanikamata wakati mi ni mupale![]()
Mkwe hapo huwa nakukubali sana (ukilo)Karibu kwenye top tena kama kawaida yetu ya kila siku
Ila leo napenda kutumia fursa hii kuwaambia woote mlokuwa mna sapot segment hii ahsantemi sanaa, na now Szczesny ataondoka JF na kuendelea na maisha mengine, nilipenda ni tufike wote kwenye 100 k but i wish you guys the best sta potea KF tuu ila napotea JF kwa ujumla and nawakubali sana wakuu kwa miez takriban mi 3 au 4,ya kuwa pamoja kama familia ahsanteni sana sanaa.
So nta shusha kumi kali za mwisho then i think tuta agana, then ntaweka rekodi ya kuwa member aliye aga JF(stupid me).
Twende kazi
Mbona unajihami tena....@szczesny usije nikamata Papaa mimi ni mupale wa tarakea![]()
Hahaa.. Nikajua nongwa kaka.. Usije kuwa km toz nyangema.Ni taarifa tu, sio nongwa
Hawa si ndiyo ulikutana nao kule kwa wakuridiNumber 4, Greece Army View attachment 389960 kwa kweli mi sja wa elewa elewa hapa , so na nyie changamsheni vchwa mka fuatilie khaa!!
Ila.nao ni wazuri kweli kweli
Siwezi kuwa hivyo, sikutaka wakuingilie kwenye anga zakoHahaa.. Nikajua nongwa kaka.. Usije kuwa km toz nyangema.
Hahaa.. Nashuruku thana..Siwezi kuwa hivyo, sikutaka wakuingilie kwenye anga zako

Cc jimenaNumber 1, Romanian Army View attachment 389965 hawa mi skubali kwamba ndo namba moja, ila vyanzo vyangu vina niambia et hawa ndio wana wana wake wenye vutoo zaid kwenye jeshi lao, wakati ukraine ikiwa ni taifa lina lo onekana la ajab ajab huko ulaya, na lililo pitia misukosuko nyingiii, lakin ndo hvo bhana mungu hakunyimi vyote nao wame jikamatia nafas ya kwanza kwa wanawake wenye mvuto, how comes wameongoza mimi shjui, ndio mteembee sasa mkaone wenyewe kama twadanganywa ama neeneeee!!!
Karibu kwenye top tena kama kawaida yetu ya kila siku
Ila leo napenda kutumia fursa hii kuwaambia woote mlokuwa mna sapot segment hii ahsantemi sanaa, na now Szczesny ataondoka JF na kuendelea na maisha mengine, nilipenda ni tufike wote kwenye 100 k but i wish you guys the best sta potea KF tuu ila napotea JF kwa ujumla and nawakubali sana wakuu kwa miez takriban mi 3 au 4,ya kuwa pamoja kama familia ahsanteni sana sanaa.
So nta shusha kumi kali za mwisho then i think tuta agana, then ntaweka rekodi ya kuwa member aliye aga JF(stupid me).
Twende kazi
wap ntapata 10 bora mimi.. Unaniacha na nyangema mzee wa kata k..

Tunaheshimu maamuzi yakoSo guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!
Hahahalovers wako unamwachia nani???
![]()
![]()
![]()
kumbe wewe ni usalama wa taifa!!!

Mtu mwingine ataweza kurithi(japo atapwaya)![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I will mc u szczesny.. Hiiii... Hiii..![]()
![]()
wap ntapata 10 bora mimi.. Unaniacha na nyangema mzee wa kata k..
Cwt"p" come here boss wako anaondoka.![]()
![]()
![]()
Hahahahahaha...jasusi!! Amefanikisha kile kilichomleta. Mission Completed!!