Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jaman thanks alot, mlikuwa nami
Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma

Kabla sja ondoka niseme nime wakumbuka watu wafuatao
Werrasom
Briz

Hata hawa japo waliondoka muda mrefu
Liz
Th name
Amazing
Manuu
Emmyguy
Sumbai
Linamo

Hata
Quigley na shululu kidogo(japo hata leo walikuepo)

"In the end we will remember not tha words of our enemies, but the silence of our friends"

Martin Ruther King jr.

Thanks.
Science of our friends

.............
 
1472062493742.jpg
 
FIX ZA BITOZ:
Enzi hizo nikiwa standard three Mabibo Beach Primary School nikirokea Chokambaya family na masela kibao tulikuwa tunadharaulika (si mnajua akili za kiroto)......basi kuna kidemu kinatokea Uzunguni full nyodo na kina maringo zaidi ya 7 ,full mashauzi,kinajifanya karembo na kasafi class zima kila siku uniform inang'aa imepigwa pasi na class hakafagii ole wako ukaguse

Sasa one dei tukiwa kwenye ule wimbo wetu wa "stand up sit down X 2,we are X 3,.stand up sit down"...... Si ile tunanyanyuka sketi yake ikamvuka na kubaki na chupi lake chafu lenye matobo kibao utafikiri imeng'atwa na panya....ikawa bonge la soo kumbe yy ni msafi wa maonyesho tu
Tangu siku hiyo alipunguza nyodo

***************""""
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom