Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Ttzo lennon alikuwa ana ki pride flan hvi hadi kili zid1981 - Mark David Chapman anahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mwanamuziki John Lennon.
Ttzo lennon alikuwa ana ki pride flan hvi hadi kili zid1981 - Mark David Chapman anahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mwanamuziki John Lennon.
Aaah1929 - Yasser Arafat anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Palestina.
Na ndio kilimponzaTtzo lennon alikuwa ana ki pride flan hvi hadi kili zid
Miss youHayaaa yaleteee

Maana hamna namna sasaWa ache watumbuliwe
HaaaMiss you![]()
HahahaNa ndio kilimponza
Huu ujumbe sijui nimtag nani??Kuwa Rubani wa Ndege haimaanishi ndio utakuwa Rubani wa Ndoa,...Unaweza kuwa Mwanajeshi tena Brigedia lakini kwen ye Ndoa ukawa Kuruta....Mwanasheria unaweza kusimama kwenye Court kwa ustadi lakini kusimama ndani ya ndoa ni zaidi ya Extended Jurisdiction!
Mapenzi sio Mchezo....Maprofesa wanakuna Vipara...Formula hakuna!.....Research zimebuma!..No Submission!....once U fall in Love heshimu hisia kwanza Status & Personality baadae!
Kijana naweza leo nikawa na ndoto ya kumuoa Miss World lakini kesho nikaishia kudondokea Katika Penzi zito la Binti Afisa wanyamapori Kitalu cha Kutunza NGIRI kule Mikumi. That's Love!
Unaweza sema utamuoa Mrembo Engineer tena under eighteen lakini ukaishia kupeleka Mahari kwa Bibi mstaafu wa Kiwanda cha Tumbaku Morogoro!,..That's Love!
Wapo Warembo Very Selective na waliowahi kutamba kwamba wataolewa na Vijana MA-handsome na Ma-tall lakini mwisho wa siku wakajikuta wamezama kwenye mapenzi mazito na Vibabu vistaafu Tanganyika Packers 1992,..yaani Kibabu ngozi imekauka .. Babu hapigwi busu mpaka apakwe Mayyonise....That's Love!
MAPENZI KWELI HISIA!...Huwezi jua! TUHESHIMU WENZETU.
![]()
![]()
![]()
![]()
...............
Napendekeza um-tag rubani wa moyo wako. Ujumbe umeanza na rubani...Huu ujumbe sijui nimtag nani??



Uko sawa...alikuwa wa ajabu naye yule.Hahaha
Alisema yeye ni maarufu kuliko Yesu i think
Uta ni correct if nme kosea
Sasa basi sisi wa kwetu tumuite Trump au unaonaje??Aaah
Kuna dogo aliitwa arafat mpaka now ana kula bata tuu ana someshwa na ubalozi wa palestina hapa town
But he was such a talent nadhan miaka ile watu wengi maarufu walikufa kwa risasiUko sawa...alikuwa wa ajabu naye yule.
HahahaaSasa basi sisi wa kwetu tumuite Trump au unaonaje??
Asante. Ujumbe huo umfikie tena ukiwa katika ubora wakeNapendekeza um-tag rubani wa moyo wako. Ujumbe umeanza na rubani...![]()
Wengi waliuawa sana sijui ni jinamizi gani lilipitaBut he was such a talent nadhan miaka ile watu wengi maarufu walikufa kwa risasi
