Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuwa Rubani wa Ndege haimaanishi ndio utakuwa Rubani wa Ndoa,...Unaweza kuwa Mwanajeshi tena Brigedia lakini kwen ye Ndoa ukawa Kuruta....Mwanasheria unaweza kusimama kwenye Court kwa ustadi lakini kusimama ndani ya ndoa ni zaidi ya Extended Jurisdiction!

Mapenzi sio Mchezo....Maprofesa wanakuna Vipara...Formula hakuna!.....Research zimebuma!..No Submission!....once U fall in Love heshimu hisia kwanza Status & Personality baadae!

Kijana naweza leo nikawa na ndoto ya kumuoa Miss World lakini kesho nikaishia kudondokea Katika Penzi zito la Binti Afisa wanyamapori Kitalu cha Kutunza NGIRI kule Mikumi. That's Love!
Unaweza sema utamuoa Mrembo Engineer tena under eighteen lakini ukaishia kupeleka Mahari kwa Bibi mstaafu wa Kiwanda cha Tumbaku Morogoro!,..That's Love!

Wapo Warembo Very Selective na waliowahi kutamba kwamba wataolewa na Vijana MA-handsome na Ma-tall lakini mwisho wa siku wakajikuta wamezama kwenye mapenzi mazito na Vibabu vistaafu Tanganyika Packers 1992,..yaani Kibabu ngozi imekauka .. Babu hapigwi busu mpaka apakwe Mayyonise....That's Love!

MAPENZI KWELI HISIA!...Huwezi jua! TUHESHIMU WENZETU.

...............
Huu ujumbe sijui nimtag nani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom