Makapuku Forum

Makapuku Forum

weka picha
1472031728569.jpg
 
Kuna declassified papers zimetolewa kama documentary jinsi walivyohangaika kumuua El Commandante Fidel Castro lakini wakashindwa inashangaza. Wanakiri kabisa kuwa hawajawahi kuona mtu mwenye mtandao wa kiusalama, machale na common sense kama Fidel...

Yeah...Kuna mifano mingi tu ambayo huwa wanashindwa kupata wanachotaka na kuishia ku-under estimate hali halisi (Black Hawk Down, Benghazi...)
Fidel Castro...atakufa kwa mapenzi ya Mungu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom