Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HahahaArafat ngumi jiwe au?
Amnaaa
HahahaArafat ngumi jiwe au?
ila hamkuti Mjomba wanguMi mwenyewe kaniacha hoiView attachment 387116
Wapo kasoro Briz yupo offlineHahaha
Mkuu
I miss those guys
kama Domo hapa bongoHahaha
Aliwaboa hasa asee
FIX ZA BITOZ:
Enzi hizo nikiwa standard three Mabibo Beach Primary School nikirokea Chokambaya family na masela kibao tulikuwa tunadharaulika (si mnajua akili za kiroto)......basi kuna kidemu kinatokea Uzunguni full nyodo na kina maringo zaidi ya 7 ,full mashauzi,kinajifanya karembo na kasafi class zima kila siku uniform inang'aa imepigwa pasi na class hakafagii ole wako ukaguse
Sasa one dei tukiwa kwenye ule wimbo wetu wa "stand up sit down X 2,we are X 3,.stand up sit down"...... Si ile tunanyanyuka sketi yake ikamvuka na kubaki na chupi lake chafu lenye matobo kibao utafikiri imeng'atwa na panya....ikawa bonge la soo kumbe yy ni msafi wa maonyesho tu
Tangu siku hiyo alipunguza nyodo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
***************""""
Sasa siku akija Idd Amin mpya si wataanza ulalamishi?Hahaha
Nme wapenda uganda
Thanks dikteta wa ItalyAhsante kipa wa Arsenal.
Kwani jezi walo istaafisha ni ipi!!?Nilikuwa najiuliza Kobe Bryant kwanini hupenda kuvaa jezi namba 24 na wakati mwingine jezi namba 8 wakati akicheza Los Angeles Lakers.
Kumbe ni tarehe 24 mwezi wa 8 ni siku yake huko jijini California.
Ndo ukweli wenyeweNilikuwa najiuliza Kobe Bryant kwanini hupenda kuvaa jezi namba 24 na wakati mwingine jezi namba 8 wakati akicheza Los Angeles Lakers.
Kumbe ni tarehe 24 mwezi wa 8 ni siku yake huko jijini California.
HahahaWapo kasoro Briz yupo offline
Sema wanazurura tu Jf
Wanataka wabembelezwe
...............
Hahahakama Domo hapa bongo
Kweli mkuu yaan hata hizi vurugu za UKUT ni kwa kuwa kuna watu wana taka madaraka mnooSasa siku akija Idd Amin mpya si wataanza ulalamishi?
Maana atatawala hadi kifo
![]()
![]()
.......
Kweli mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uongoooo
pamoja.Thanks dikteta wa Italy
24Kwani jezi walo istaafisha ni ipi!!?
HahahaKweli mkuu
Bado nakumbukumbu za utotoni
Japo natumia "FIX"
![]()
![]()
![]()
........
Huyo huyo.Yule prof wa Mitishamba?
![]()
![]()
![]()
..........