Makapuku Forum

Makapuku Forum

FIX ZA BITOZ:
Leo nazungumzia kuhusu Mahakama mbili zinazopatikana huku Uswaz.....sio zile unazofikiri wewe

1/Mahakama ya Simu
Hii Mahakama inapatikana pale opposite na Manzese Tip Top ...ni sehemu maarufu kwa kesi za simu km huamini ukiwa unapita eneo hilo ndani ya gari fungua dirisha halafu ringishia simu!!!
Hii ndo sehemu maarufu zaidi kwa vibaka wa simu hata ukiwa na kinokia cha tochi hawakuachi
View attachment 385411

2/Mahakama ya ndizi
Hii nayo ni bonge la Mahakama kushinda Mahakama kuu ...jengo lake linapatikana Mabibo karibu na Big Brother.....
Kesi zote zinazohusu ndizi huamuliwa hapo hakimu au jaji ni muuza ndizi,kwa hapa Joto City hii ndo Mahakama yenye mamlaka ya juu kwenye kesi za ndizi ukishindwa hapa huwezi kukata rufaa popote paleView attachment 385413
NB:
Sehemu hizo zinaitwa hivyo km nklivyoandika
*********************************
Na uwanja wa fisi je
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom