Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Kadri ukuta unavyokaribia na figisu nazo zinazidi...eti JF application yangu ilinigomea ghafula ikabidi nifute nidownload mpya...





Nyie mnampaisha tuKamuulize yy
..............
Katumwa sio bureMimi huwa simuelewagi
Kesho zitawajiaWapi nukuu
Hahahaha ni tatizohahaha weka mbali na wapinzani.
Pole, mi pia nimeidownload upya ila ikawa kila nikiweka password inakataa ila sasa imekubaliKadri ukuta unavyokaribia na figisu nazo zinazidi...eti JF application yangu ilinigomea ghafula ikabidi nifute nidownload mpya...![]()
Poa poaKesho zitawajia
HahahaKwanza anaanzia wapi?
Umepoteza bundle....ungeenda setting kwenye manage apps nuclear data & cache kwenye app......ndo njia rahisiKadri ukuta unavyokaribia na figisu nazo zinazidi...eti JF application yangu ilinigomea ghafula ikabidi nifute nidownload mpya...![]()
Halafu nimekupmHahaha
HahahahaMi sijui nani simkubali.......
Jamani Shululu...tulikukosa sana leo. Karibu sanaZa jioni makapuku
Am niko ngudi kabsa na wewe app ina sumbua!!?Za kwako mkwe, Asante sana
Kuna tatizoPole, mi pia nimeidownload upya ila ikawa kila nikiweka password inakataa ila sasa imekubali
Nyie line zenu tuu hzoKadri ukuta unavyokaribia na figisu nazo zinazidi...eti JF application yangu ilinigomea ghafula ikabidi nifute nidownload mpya...![]()
Ndio inakuaje hiyo...mi siielewi, nielekeze taratibu inakuajeUmepoteza bundle....ungeenda setting kwenye manage apps nuclear data & cache kwenye app......ndo njia rahisi
................
Na uwanja wa fisi jeFIX ZA BITOZ:
Leo nazungumzia kuhusu Mahakama mbili zinazopatikana huku Uswaz.....sio zile unazofikiri wewe
1/Mahakama ya Simu
Hii Mahakama inapatikana pale opposite na Manzese Tip Top ...ni sehemu maarufu kwa kesi za simu km huamini ukiwa unapita eneo hilo ndani ya gari fungua dirisha halafu ringishia simu!!!
Hii ndo sehemu maarufu zaidi kwa vibaka wa simu hata ukiwa na kinokia cha tochi hawakuachi
View attachment 385411
2/Mahakama ya ndizi
Hii nayo ni bonge la Mahakama kushinda Mahakama kuu ...jengo lake linapatikana Mabibo karibu na Big Brother.....
Kesi zote zinazohusu ndizi huamuliwa hapo hakimu au jaji ni muuza ndizi,kwa hapa Joto City hii ndo Mahakama yenye mamlaka ya juu kwenye kesi za ndizi ukishindwa hapa huwezi kukata rufaa popote paleView attachment 385413
NB:
Sehemu hizo zinaitwa hivyo km nklivyoandika
*********************************
Sijaona ngoja niende basi maana hii ndio hii app mpyaHalafu nimekupm
Yule atakuwa mrundiHahahaha
Alaf penyewe apa amekuja tyu ila wenyej wenyewe wana sanda