Makapuku Forum

Makapuku Forum

JOKE OF DA WEEK:
Mzee Akilimali ndo kibabu pekee Bongoland ambacho ni mbumbumbu na fukara wa kutupwa lakini chenye ushawishi hapa mjini na fix za kutupia.....km huamini hiki kibabu ndo chanzo cha migogoro mara kwa mara pale Jangwani........
1471802585781.jpg

Kweli watu na nyota zao

................
 
JOKE OF DA WEEK:
Mzee Akilimali ndo kibabu pekee Bongoland ambacho ni mbumbumbu na fukara wa kutupwa lakini chenye ushawishi hapa mjini na fix za kutupia.....km huamini hiki kibabu ndo chanzo cha migogoro mara kwa mara pale Jangwani........View attachment 385404
Kweli watu na nyota zao

................
Kinaudhi sana hiki kizee
 
JOKE OF DA WEEK:
Mzee Akilimali ndo kibabu pekee Bongoland ambacho ni mbumbumbu na fukara wa kutupwa lakini chenye ushawishi hapa mjini na fix za kutupia.....km huamini hiki kibabu ndo chanzo cha migogoro mara kwa mara pale Jangwani........View attachment 385404
Kweli watu na nyota zao

................
Hahahaa
Mzee aliye ishika yanga yootee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom