Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HahahahaSzny kama ndo nakuona vile umedumbukizwa kwenye hiyo gari vunja ukuta...! daah![]()
I can imagen hapa

HahahahaSzny kama ndo nakuona vile umedumbukizwa kwenye hiyo gari vunja ukuta...! daah![]()

Hili linawezekana kabisa, lakini walishindwa kumtafuta mtu anaeshabihiana nae japo kiasi???Kuna jambo zito sana linaendela nyuma ya pazia...jimmy Carter orijino inawezekana alifariki ili wasimpoteze na pengine walimuhitaji ikatengenezwa kopi yake ( Clonned) badala yake labda...sasa atapoteaje?!!
Amna uyo jamaa wala hamna kituHuu sasa wivu![]()
Znaitwa conspiracy theories hzoKama hii ishu iko serious naombeni muiweke jamani...Rais atapotea vipi?? Dunia ina maajabu
Sasa mwenye kitu ni yupi?Amna uyo jamaa wala hamna kitu
Ndio wakamleta huyo feki kabisa?...hahahaha binadam sio wazuri jamani...Hili linawezekana kabisa, lakini walishindwa kumtafuta mtu anaeshabihiana nae japo kiasi???
UwiiiBriz atakuwepo ikiwa tu ntagundua ya kuwa umempa kitu my pacha

Urithi...Szny katoa urithi Jimena hataki nipate shea wala nisome wosiaKuna mpambano gani tena
Hii Dunia ina maajabu sanaZnaitwa conspiracy theories hzo
Sa toka lini ulimi ukawa na mfuko??Uwiii
Msha kuwa mapaja
Aaah!
Sor mapacha
Ulimi hauna mfuko
![]()
![]()
HawafaiNdio wakamleta huyo feki kabisa?...hahahaha binadam sio wazuri jamani...
Ila hatakufa...Urithi...Szny katoa urithi Jimena hataki nipate shea wala nisome wosia
Nawapenda sana sababu ya binamu, ila nawapenda pia Nsync, Boyzone,Next, back Street Boyz nk
Huwa si kweli sana hayo mambo lakinHii sasa kiboko![]()
Sasa tuspo pigania nchi nan ata fanya hvoNdo uachane na maandamano sasa
AfadhaliHuwa si kweli sana hayo mambo lakin
Ni hisia tuu
HahahaKuna jambo zito sana linaendela nyuma ya pazia...jimmy Carter orijino inawezekana alifariki ili wasimpoteze na pengine walimuhitaji ikatengenezwa kopi yake ( Clonned) badala yake labda...sasa atapoteaje?!!
Tuma video![]()
![]()
![]()
Westlife boyz yaan kwangu ni zaid ya bendi