Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,256
Naunga mkono hoja.Maths ifutwe
Naunga mkono hoja.Maths ifutwe
hahaha weka mbali na wapinzani.Szny kama ndo nakuona vile umedumbukizwa kwenye hiyo gari vunja ukuta...! daah![]()
Nawapenda sana sababu ya binamu, ila nawapenda pia Nsync, Boyzone,Next, back Street Boyz nkInaonyesha unawapenda sana wale eeh...?, wakali nao...mhh
Mwanamke haishiwi mbinuHuyu wala haendi popote, siku hiyo naweza loweka nguo zake zote
Hii sasa kibokoDunia ina mambo hii...ngoja nikiupata mkasa kamili nitaumwaga hadharani.
ila kwa ufupi, Rais Jimmy Carter alipatwa na Ugonjwa ambao ulihatarisha uhai wake, hivyo akachukua likizo ili akatibiwe na hakuonekana hadharani kwa miezi takribani miwili, baada ya hapo ndio utata ulipoanza.
Wamarekani wanaamini Jimmy Carter aliyekuja kuonekana baada ya miezi miwili si yule mwenyewe.
Huyu alikuwa tofauti na yule kwa vitu vingi hasa muonekano, urefu na hata kiumri, wakiamini Jimmy Carter amebadilishwa yaani wameletewa Jimmy Carter namba 2.
Ngoja nizisake nondo zaidi...

Hata siku moja, yani siku ya tukio naweza fanya maajabu mpaka ye mwenyewe akashangaaMwanamke haishiwi mbinu
Le akil kubwaz weweAtleast wastani![]()
Weka pichaMwanamke haishiwi mbinu
Briz man 4ongoYani kweli kabisa unaondoka unaacha watoto walelewe na Bri....![]()
Aitwa nan!!?Hahaha kuna midevu aliifuga ndio aliniharibu sana
Kuna mpambano gani tenaNapashe misuli kabisa kwa mpambano...![]()
Shusha nondoDunia ina mambo hii...ngoja nikiupata mkasa kamili nitaumwaga hadharani.
ila kwa ufupi, Rais Jimmy Carter alipatwa na Ugonjwa ambao ulihatarisha uhai wake, hivyo akachukua likizo ili akatibiwe na hakuonekana hadharani kwa miezi takribani miwili, baada ya hapo ndio utata ulipoanza.
Wamarekani wanaamini Jimmy Carter aliyekuja kuonekana baada ya miezi miwili si yule mwenyewe.
Huyu alikuwa tofauti na yule kwa vitu vingi hasa muonekano, urefu na hata kiumri, wakiamini Jimmy Carter amebadilishwa yaani wameletewa Jimmy Carter namba 2.
Ngoja nizisake nondo zaidi...
Ndo uachane na maandamano sasaBriz man 4ongo
Anakera kwel
Weka picha
Hahah Nixon was a very gud president thoughSawa mkuu, usisahau kuniita pindi ukiishusha. Nixon aliweka rekodi ya pekee sana.
Pia ushawahi sikia mkasa wa kupotea kwa Rais Jimmy Carter?
Maandamano muhimuNdo uachane na maandamano sasa
Kuna jambo zito sana linaendela nyuma ya pazia...jimmy Carter orijino inawezekana alifariki ili wasimpoteze na pengine walimuhitaji ikatengenezwa kopi yake ( Clonned) badala yake labda...sasa atapoteaje?!!Hii sasa kiboko![]()
Mwenzenu anacho taka yaan ndo awe talk of the town kama hvoHivi yule dada yuko timamu kweli maana mi naona kama anataka umaarufu wa kiajabu.