Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huo hata mi sijawahi kuusikia
Dunia ina mambo hii...ngoja nikiupata mkasa kamili nitaumwaga hadharani.

ila kwa ufupi, Rais Jimmy Carter alipatwa na Ugonjwa ambao ulihatarisha uhai wake, hivyo akachukua likizo ili akatibiwe na hakuonekana hadharani kwa miezi takribani miwili, baada ya hapo ndio utata ulipoanza.

Wamarekani wanaamini Jimmy Carter aliyekuja kuonekana baada ya miezi miwili si yule mwenyewe.

Huyu alikuwa tofauti na yule kwa vitu vingi hasa muonekano, urefu na hata kiumri, wakiamini Jimmy Carter amebadilishwa yaani wameletewa Jimmy Carter namba 2.

Ngoja nizisake nondo zaidi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom