Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mhhh....mashamsham hayo
Huyu babu nae...JOKE OF DA WEEK:
Mzee Akilimali ndo kibabu pekee Bongoland ambacho ni mbumbumbu na fukara wa kutupwa lakini chenye ushawishi hapa mjini na fix za kutupia.....km huamini hiki kibabu ndo chanzo cha migogoro mara kwa mara pale Jangwani........View attachment 385404
Kweli watu na nyota zao
![]()
![]()
![]()
![]()
................
Take That - A Million Love Songs (Official Music …:
Take That - A Million Love Songs (Official Music …:
Mahakama ya ndiziFIX ZA BITOZ:
Leo nazungumzia kuhusu Mahakama mbili zinazopatikana huku Uswaz.....sio zile unazofikiri wewe
1/Mahakama ya Simu
Hii Mahakama inapatikana pale opposite na Manzese Tip Top ...ni sehemu maarufu kwa kesi za simu km huamini ukiwa unapita eneo hilo ndani ya gari fungua dirisha halafu ringishia simu!!!
Hii ndo sehemu maarufu zaidi kwa vibaka wa simu hata ukiwa na kinokia cha tochi hawakuachi
View attachment 385411
2/Mahakama ya ndizi
Hii nayo ni bonge la Mahakama kushinda Mahakama kuu ...jengo lake linapatikana Mabibo karibu na Big Brother.....
Kesi zote zinazohusu ndizi huamuliwa hapo hakimu au jaji ni muuza ndizi,kwa hapa Joto City hii ndo Mahakama yenye mamlaka ya juu kwenye kesi za ndizi ukishindwa hapa huwezi kukata rufaa popote paleView attachment 385413
NB:
Sehemu hizo zinaitwa hivyo km nklivyoandika
*********************************

Nasikia Kachawi from KigomaHahahaa
Mzee aliye ishika yanga yootee
HahahahaNasikia Kachawi from Kigoma
Km huamini vamia Nyumba yake ugeuzwe bata
![]()
![]()
![]()
..........
Nyie mnampaisha sana tatizoNasikia Kachawi from Kigoma
Km huamini vamia Nyumba yake ugeuzwe bata
![]()
![]()
![]()
..........
Hahahaha
Alaf penyewe apa amekuja tyu ila wenyej wenyewe wana sanda
Nenda na ww akugeuze ng'ombeNyie mnampaisha sana tatizo
Mpaka sasa kashafanikiwa kuwageuza Ng'ombe watu wangapi???Nenda na ww akugeuze ng'ombe
![]()
![]()
![]()
...........
J,lo, West life, phili Collins, Dion, Houston, eve na Judy nawakubali sana![]()
![]()
![]()
Westlife boyz yaan kwangu ni zaid ya bendi
Kamuulize yyMpaka sasa kashafanikiwa kuwageuza Ng'ombe watu wangapi???
Tuanzie hapo basi
Lazima tuipiganie nchiSasa tuspo pigania nchi nan ata fanya hvo
Mi sijui nani simkubali.......J,lo, West life, phili Collins, Dion, Houston, eve na Judy nawakubali sana
Za kwako mkwe, Asante sanaPoa mkwe karibu sana