Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
...anaenda mbali tena kwa kasi sana.Sawa, tulia hapo hapo.
...anaenda mbali tena kwa kasi sana.Sawa, tulia hapo hapo.
Ulinzi shirikishi, tutashirikishana
Huo ulinzi shirikishi sasa😂😂😂....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. Tutalindana
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makao
Me jamani nahisi ni uzee hivi mjue nimeshasahau kama kuna kitu kinaitwa jf [emoji2296] mnisamehe tu nikikumbuka kama hivi ndio naingia niombeeni huu uzee uniache kidogo
[emoji1787][emoji1787]...ngoja niende masjid, nikaombe kutumia spika za adhana kumuita aje hapa, ili upone mtaasisi
Weeh Poker sema kweli mbona sijawahi kukusikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora binamu umenisaidia.....atajuaje kama hujamwambia, uchawi upo kwenye kumuelza, sisi hatutokusaidia
...sasa wakati anapitia hiki kipindi kigumu ndo wewe sasa ushike nafasi hadi pale atakapofanikiwa anachohitaji. Nchi huru hii
[emoji23][emoji23]Ndio nipo hapa kumsapoti mpaka sukari ipande[emoji23] nchi ngumu hii mzeee..
Alooooh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana kipenzi changu we endelea naye tu moja kwa moja [emoji23]Mimi nipo mpaka shunie atakaporudi[emoji23]
Pole sana usisahau kunywa brufen
Sasa namm leo bamtu karudi sitaweza kuendelea mpaka hapo, goma lako hilo mama😂😂Hapana kipenzi changu we endelea naye tu moja kwa moja [emoji23]
Ushakua uzi wa selfika huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]