Makapuku Forum

Makapuku Forum

Obe ni mzee kwahiyo hakuna madhara yoyote ntayapata! Hana ujanja ujanja kwaio ntakuwa salama☺️
....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. Tutalindana
Kitovuni kwenu ni geita au sengerema😃
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makao
 
....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. Tutalindana
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makao
Huo ulinzi shirikishi sasa😂😂😂

Oohh sawa naona umeamia kwa kina konde, sisi tupo na mwanza yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom