Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. TutalindanaObe ni mzee kwahiyo hakuna madhara yoyote ntayapata! Hana ujanja ujanja kwaio ntakuwa salama☺️
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makaoKitovuni kwenu ni geita au sengerema😃
mnisamehe tu nikikumbuka kama hivi ndio naingia niombeeni huu uzee uniache kidogo
🤌

