Nembe watamu sema sikuizi vinauzwa vidogo vidogo sio kama zamani zinajaa mayai tumboni, hao mbete na ningu ni nini?...duh, hadi furu unawajua kaka, wewe utakuwa jorowe, basi hata gogogo utakuwa unawajua vizuri au nembe na mbete au ningu
Karibuni aisee😆😆 ntawapikia ugali na mawashio😁...halafu atukaribishe maana ndoo nzima mtu mmoja ataimaliza kweli peke yake, au ako kwenye dayati
Nitakuwa na vituo vingi sana aisee😅😅...akifika Shinyanga, ashuke pale mjini, auilize Ibinzamata au Ngokolo, aje nimuelekeze, akifika Dodoma tu hapo mji wa kiserikali, asifike Mtumba aje Iyumbu, nitampatia sehemu ya kupumzika maana Mtwara ni mbali
Nimetoka kidogo tu nitarudiKwa hiyo uko Mwanza for sure?
Sijamuona mkuu
Kwa nini umeniuliza mimi?
Kwakweli ukimuona mwambie aselfike.