Makapuku Forum

Makapuku Forum

Obe ni mzee kwahiyo hakuna madhara yoyote ntayapata! Hana ujanja ujanja kwaio ntakuwa salama☺️
....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. Tutalindana
Kitovuni kwenu ni geita au sengerema😃
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makao
 
Back
Top Bottom