Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 18,992
Ombi langu ndio umelikatilia mbali?Nipo nimejaa telee.. twende tukashuhudie mvua kwa macho😆
Ombi langu ndio umelikatilia mbali?Nipo nimejaa telee.. twende tukashuhudie mvua kwa macho😆
Liked ....'hata isipotiwa'Nia ipo palepale ata isipotiwa😆 kuna mvua wapi huko mwenzetu..
Karibuni sana Mtwara, mtaa ni Shangani, unashuka kidogo chini, unapita kwenye shule ya uuguzi kama unaelekea baharini, utaona nyumba ina mikorosho mingi nje, uliza boda boda yeyote atakuelekezeni, mmefika.Nipo nimejaa telee.. twende tukashuhudie mvua kwa macho😆
Poker mi nawewe tena! Naanzaje kukataa🤭Ombi langu ndio umelikatilia mbali?
Kweli Tanzania ni kubwa kwaio kutiana nia ndio kiswahili kipi huko mtwara😂😂.. akipona ataliunga hukohuko mtwara atatukuta kisha namimi nirudi nilipotoka🤣
Afadhali! Wacha nitunze kumbukumbu nisipotelee mikoroshoni buree!!Karibuni sana Mtwara, mtaa ni Shangani, unashuka kidogo chini, unapita kwenye shule ya uuguzi kama unaelekea baharini, utaona nyumba ina mikorosho mingi nje, uliza boda boda yeyote atakuelekezeni, mmefika.
Ha ahahaahahaha. Huwezi kupotea, mikorosho imepandwa kwa mstari utasema maua ya shule.Afadhali! Wacha nitunze kumbukumbu nisipotelee mikoroshoni buree!!
Mbona sasa ulikataa kutwanga fotoooPoker mi nawewe tena! Naanzaje kukataa🤭
Nikifika tu nakupigia usijali, kuna gauni la kijani hivi ntavaa utaniona tu nawaka kutokea mbali😆Ha ahahaahahaha. Huwezi kupotea, mikorosho imepandwa kwa mstari utasema maua ya shule.
Ukikaribia tu, niambie nitoke kupokea mabegi
...safi sana, hilo gauni la kijani kama mheshimiwa diwani litakuwa ni kitambulisho tosha, ukiona nimetia dole tu, hapo jua salamu za chama zimepatanaNikifika tu nakupigia usijali, kuna gauni la kijani hivi ntavaa utaniona tu nawaka kutokea mbali😆
...mambo ya Kofi Olomide, twanga fotoo, wali kukuMbona sasa ulikataa kutwanga fotooo
😁😁😁😁😁...safi sana, hilo gauni la kijani kama mheshimiwa diwani litakuwa ni kitambulisho tosha, ukiona nimetia dole tu, hapo jua salamu za chama zimepatana
🙏🙏Tuwe na mwanzo mzuri wa wiki la tau la mwaka 2026.
Na bado nakuambia happy new year kama hatujasalamiana
Aah wapi si nitarudi🤣Aseee kuna mwana anapoteza ma-watoto mchana kweupee🙄🙄