Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,000
- 84,243
Shindwaaa we mzee😂😂😂 ethiopia tena, tutaungaunga tufike! Hakuna cha mganga hapa.. wachawi ndio sisi😅....akikataa hii offer, mtafute Lee akutafutie mganga. Maana ndiyo mbinu pekee ambayo itakuwa imebaki, nikiongea kwa uzoefu. Seychelles mtahitaji muda wa kuplan, maana usafiri wake ni wa kuungaunga, mnaweza jikuta Ethiopia