Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ipo Zambia ni maporomoko mazuri sana japo pia ukiwa upande wa zimbabwe unaeza kuyaona ila sisi tutaenda Zambia tukae siku mbili, kisha twende visiwa vya seychelles tukaimalizie valentine yetu.
Aww😍 acha nijiandae kujipa rahaa kabisa😌
Wapi dosho12 saiz sikuzamishi tena nakutesa kisaikolojia tu😂 cheki mwenzeu napelekwa nikaione dunia vzr😜
 
....akikataa hii offer, mtafute Lee akutafutie mganga. Maana ndiyo mbinu pekee ambayo itakuwa imebaki, nikiongea kwa uzoefu. Seychelles mtahitaji muda wa kuplan, maana usafiri wake ni wa kuungaunga, mnaweza jikuta Ethiopia
Shindwaaa we mzee😂😂😂 ethiopia tena, tutaungaunga tufike! Hakuna cha mganga hapa.. wachawi ndio sisi😅
 
....akikataa hii offer, mtafute Lee akutafutie mganga. Maana ndiyo mbinu pekee ambayo itakuwa imebaki, nikiongea kwa uzoefu. Seychelles mtahitaji muda wa kuplan, maana usafiri wake ni wa kuungaunga, mnaweza jikuta Ethiopia
Nadhani Kenya airways inaenda seychelles, japo sina hakika ila itabidi kabla sijampeleka nimlete kwanza umwekee mikono kichwani aepukane na husda za waja 😊
 
Kaka Obe nategemea kwa busara na ukongwe wako utanisaidia katika hilo. Namimi ntahakikisha nakununulia zawadi ya gitaa lenye sahihi ya Diblo Dibala 😊
.....huo mtihani sasa unanipatia mkongwe mimi. Yeye mwenyewe haniamini labda checki na moudgulf , huyu jamaa ndo anaaminika. Mimi nilimuahidi korosho hakuja kuzichukua, zikarudishwa kwa sender. Japo mkongwe, ananilaumu, anasema siko makini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom