Sawa nitafuata huu utaratibu wako wote huenda utanifanikishia jambo langu😅Hakuna soft copy hapo mkuu Seran ni mwendo wa kumtafuta vichochoro vyote vya Mwanza kama hajaonekana unahamia Shinyanga then Dodoma ikibidi unakuja na ndoo yako mpaka Dar, kama hujamuona utaacha ndoo na mazaga zaga yote hapa home kisha tunaenda kumtafuta😂
Sawa sawa, nilitoka kidogo nikirudi nitakuletea hiyo ndoo tumalize deni si hata la mawashio freshy tu au😃Nipo hapa ingawa muda huu nipo nje kidogo ya jiji huku Usagara
...duh, hadi furu unawajua kaka, wewe utakuwa jorowe, basi hata gogogo utakuwa unawajua vizuri au nembe na mbete au ninguAnasema alikuletea ndoo nzima ambayo imejaa Sato, Sangara na Furu lakini ukaishia kumtelekeza kwenye mitaa ya Mabatini.
Hilo limeujeruhi moyo wake.
...halafu atukaribishe maana ndoo nzima mtu mmoja ataimaliza kweli peke yake, au ako kwenye dayatiSasa fanya kitu ili tuamini kweli unaomba msamaha na nimshawishi akusamehe.
Fanya kumnunulia ndoo yenye Sato, Sangara na Furu kama alivyofanya yeye.
...akifika Shinyanga, ashuke pale mjini, auilize Ibinzamata au Ngokolo, aje nimuelekeze, akifika Dodoma tu hapo mji wa kiserikali, asifike Mtumba aje Iyumbu, nitampatia sehemu ya kupumzika maana Mtwara ni mbaliHakuna soft copy hapo mkuu Seran ni mwendo wa kumtafuta vichochoro vyote vya Mwanza kama hajaonekana unahamia Shinyanga then Dodoma ikibidi unakuja na ndoo yako mpaka Dar, kama hujamuona utaacha ndoo na mazaga zaga yote hapa home kisha tunaenda kumtafuta😂
mmmh, mawashio imenipiga changa hapo. Ndiyo nini?Sawa sawa, nilitoka kidogo nikirudi nitakuletea hiyo ndoo tumalize deni si hata la mawashio freshy tu au😃
Usagara karibu tu hapo, unakata kushoto unaitafuta MwamashimbaNipo hapa ingawa muda huu nipo nje kidogo ya jiji huku Usagara
Kwa hiyo uko Mwanza for sure?Sawa sawa, nilitoka kidogo nikirudi nitakuletea hiyo ndoo tumalize deni si hata la mawashio freshy tu au😃