Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hakuna soft copy hapo mkuu Seran ni mwendo wa kumtafuta vichochoro vyote vya Mwanza kama hajaonekana unahamia Shinyanga then Dodoma ikibidi unakuja na ndoo yako mpaka Dar, kama hujamuona utaacha ndoo na mazaga zaga yote hapa home kisha tunaenda kumtafuta😂
Sawa nitafuata huu utaratibu wako wote huenda utanifanikishia jambo langu😅
 
Hakuna soft copy hapo mkuu Seran ni mwendo wa kumtafuta vichochoro vyote vya Mwanza kama hajaonekana unahamia Shinyanga then Dodoma ikibidi unakuja na ndoo yako mpaka Dar, kama hujamuona utaacha ndoo na mazaga zaga yote hapa home kisha tunaenda kumtafuta😂
...akifika Shinyanga, ashuke pale mjini, auilize Ibinzamata au Ngokolo, aje nimuelekeze, akifika Dodoma tu hapo mji wa kiserikali, asifike Mtumba aje Iyumbu, nitampatia sehemu ya kupumzika maana Mtwara ni mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom