Sijui kama wenzangu mmeliona hili, ilianza kwa Zolan Maki, ikaja kwa Seleman Matola na sasa Juma Mgunda, unajua nini kuhusu Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho? nitakwambia kitu halafu ukichunguze siku ambayo hawa wawili watakapokuwa wakicheza.
Chama amepunguziwa mzigo ndani ya Simba, ndio!, Chama wa sasa anaishambulia zaidi zonal 14 ( lile eneo karibu na D ), hafanyi mikimbio mingi, hachezeshi sana timu kutokea chini, hilo jukumu lipo mabegani kwa Pape Ousmane Sakho, fatilia vizuri hili jambo.
Zitazame zile dribbling za Sakho kutokea chini, angalia namna anavyoitafuta space, ataingia ndani ( inverted ), atakimbia na mpira, atapiga pasi na kufanya vitu vingi kama playmaker, ni rahisi kusema kuwa playmaker wa sasa wa Simba ni Pape Ousmane Sakho.
Yes! ni playmaker anaetokea pembeni, anakuwa free pia, wakati ambao Pape anakuwa na mpira utamuona Chama anaishambulia zonal 14, hapa ni kumpunguzia majukumu Chama ambae alikuwa na role ya kutengeneza nafasi na kuchezesha timu, Chama wa sasa yupo kwa ajili ya kulisha zaidi.kwani kn mtu anakereka kutokea wapi? shangaziSababu yako sisi mashangazi kupiga story zetu sasa ulitaka tukae tu kama mabubu tuweke magazeti na habari mchanganyiko tutoke mkuu usitupangie humu makapuku hili jukwaa watu tofauti wanakuja kusoma habari zinazopostiwa na we ukiwa mmojawapo tuache tu mashangazi wa makapuku tuishi tulivyozoea tupo kama ndugu humu hata kama baadhi hatujuani
swahiba umeamkaje ?
Imebidi nicheke bila kutarajia....
Sasa uzi kujaa Mashangazi wakajadili Issues zao nayo ni kitu ya kumfanya mtu hadi kutuandikia comment huko surely?
Anyway kama kuna kitu kingine tumemkosea tumuombe radhi pasipo hata kujua ni nini tumemkosea..
Ila story za Mashangazi ndiyo hatuachi.. Mashangazi tunakaribia kupokea Pension zetu...sasa anataka tujadili nini zaidi ya mipango mikakati ya kutumia Pension zetu
Mwisho... ila siyo mwisho kabisa...kwa niaba ya wote hapa nimkaribishe.. hapa kuna mengi ya kujifunza... AHSANTE..
Kuna nini ?Poker habari yako mkuu wangu hivi sisi mashangazi wa makapuku nini tumekukosea tukuombe hata msamaha kuna sehemu tuliona umetusema sana vibaya kupiga kwetu story ni shida kwako je hata habari tunazopost we huzioni kweli usiwe unatuchukia bila sababu mkuu usiwe na roho hiyo ya kuchukia watu tu mkuu sio vizuri kama kuna sehemu tuliwahi kukukosea sisi mashangazi wa makapuku tunaomba utusamehe.
Usimchukie hata siku moja mtu usiyemjua watu wenyewe tunaishi jf kwa I'd fake chuki ni kirusi kibaya sana mkuu kemea hiyo roho kama we ni mristo ikuondoke.
Kwema mkuu...wewe jeVipi hali yako mzee?
Nini kimetokea Auntie?
Mashangazi tumefanyaje tena?Mweh!!!
Maana mahali niko saa hii hata kumwambia mtu "muone" siwezi![]()



TumepigwaaaaUnafahamu kuwa Kocha Mkuu mpya wa Chelsea, Graham Potter amewahi kuwa Mkurugenzi wa ufundi wa timu ya taifa ya wanawake GhanaView attachment 2354095