Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220912-073659_OGInsta%2B.jpg
 
NINJA AIWAHI SINGIDA BIG STARS
.
Beki wa Yanga, Abdallah Shaibu Ninja rasmi sasa yupo tayari kuitumikia Dodoma Jiji kwa mkopo na kama kocha Masoud Djuma ataamua kumpa nafasi basi ataanza kazi leo kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars.
.
Beki huyo aliyewahi kucheza soka la kulipwa nchini Marekani katika Klabu ya LA Galaxy Julai mwaka huu aliongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Yanga kabla ya kutolewa kwa mkopo ili apate nafasi zaidi ya kuendeleza kipaji chake na Dodoma wakambeba.

…………………
Screenshot_20220912-073822_OGInsta%2B.jpg
 
Imeandikwa na @swalehmawele

Sijui kama wenzangu mmeliona hili, ilianza kwa Zolan Maki, ikaja kwa Seleman Matola na sasa Juma Mgunda, unajua nini kuhusu Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho? nitakwambia kitu halafu ukichunguze siku ambayo hawa wawili watakapokuwa wakicheza.

Chama amepunguziwa mzigo ndani ya Simba, ndio!, Chama wa sasa anaishambulia zaidi zonal 14 ( lile eneo karibu na D ), hafanyi mikimbio mingi, hachezeshi sana timu kutokea chini, hilo jukumu lipo mabegani kwa Pape Ousmane Sakho, fatilia vizuri hili jambo.

Zitazame zile dribbling za Sakho kutokea chini, angalia namna anavyoitafuta space, ataingia ndani ( inverted ), atakimbia na mpira, atapiga pasi na kufanya vitu vingi kama playmaker, ni rahisi kusema kuwa playmaker wa sasa wa Simba ni Pape Ousmane Sakho.

Yes! ni playmaker anaetokea pembeni, anakuwa free pia, wakati ambao Pape anakuwa na mpira utamuona Chama anaishambulia zonal 14, hapa ni kumpunguzia majukumu Chama ambae alikuwa na role ya kutengeneza nafasi na kuchezesha timu, Chama wa sasa yupo kwa ajili ya kulisha zaidi.

Screenshot_20220912-074006_OGInsta%2B.jpg
 
Sababu yako sisi mashangazi kupiga story zetu sasa ulitaka tukae tu kama mabubu tuweke magazeti na habari mchanganyiko tutoke mkuu usitupangie humu makapuku hili jukwaa watu tofauti wanakuja kusoma habari zinazopostiwa na we ukiwa mmojawapo tuache tu mashangazi wa makapuku tuishi tulivyozoea tupo kama ndugu humu hata kama baadhi hatujuani
kwani kn mtu anakereka kutokea wapi? shangazi
 

Imebidi nicheke bila kutarajia....

Sasa uzi kujaa Mashangazi wakajadili Issues zao nayo ni kitu ya kumfanya mtu hadi kutuandikia comment huko surely?

Anyway kama kuna kitu kingine tumemkosea tumuombe radhi pasipo hata kujua ni nini tumemkosea..

Ila story za Mashangazi ndiyo hatuachi.. Mashangazi tunakaribia kupokea Pension zetu...sasa anataka tujadili nini zaidi ya mipango mikakati ya kutumia Pension zetu

Mwisho... ila siyo mwisho kabisa...kwa niaba ya wote hapa nimkaribishe.. hapa kuna mengi ya kujifunza... AHSANTE..
swahiba umeamkaje ?
 
Poker habari yako mkuu wangu hivi sisi mashangazi wa makapuku nini tumekukosea tukuombe hata msamaha kuna sehemu tuliona umetusema sana vibaya kupiga kwetu story ni shida kwako je hata habari tunazopost we huzioni kweli usiwe unatuchukia bila sababu mkuu usiwe na roho hiyo ya kuchukia watu tu mkuu sio vizuri kama kuna sehemu tuliwahi kukukosea sisi mashangazi wa makapuku tunaomba utusamehe.

Usimchukie hata siku moja mtu usiyemjua watu wenyewe tunaishi jf kwa I'd fake chuki ni kirusi kibaya sana mkuu kemea hiyo roho kama we ni mristo ikuondoke.
Kuna nini ?
 
Hili ndio gari lilobeba mwili wa Malkia. Mwili wa Malkia Elizabeth umeondoka leo kutoka kwenye Kasri la Balmoral kuelekea mji mkuu wa Scotland Edinburg. Watu wa Scotland wataaga mwili siku ya Jumanne, na baadae siku hiyo hiyo, mwili utaondoka na kupelekwa London kwenye Kasri la Buckingham. Mwili wa Malkia utazikwa siku ya Jumamosi kwenye kanisa la Mtakatifu George huko London, Uingereza. Atazikwa pembeni ya kaburi la mumewe, Prince Philip aliyefariki mwaka jana...!
Screenshot_20220912-085938_OGInsta%2B.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom