Makapuku Forum

Makapuku Forum

Poker habari yako mkuu wangu hivi sisi mashangazi wa makapuku nini tumekukosea tukuombe hata msamaha kuna sehemu tuliona umetusema sana vibaya kupiga kwetu story ni shida kwako je hata habari tunazopost we huzioni kweli usiwe unatuchukia bila sababu mkuu usiwe na roho hiyo ya kuchukia watu tu mkuu sio vizuri kama kuna sehemu tuliwahi kukukosea sisi mashangazi wa makapuku tunaomba utusamehe.

Usimchukie hata siku moja mtu usiyemjua watu wenyewe tunaishi jf kwa I'd fake chuki ni kirusi kibaya sana mkuu kemea hiyo roho kama we ni mristo ikuondoke.
Nina sababu ya kuandika vile sikukurupuka ila kama ilikukera niwie radhi. Nothing personal! Shunie
 
Hata kumwambia mtu muone huwezi auntie nimecheka sanaaa

Bwana juzi kati nilikuwa chit chat nimepita tu kimyakimya kuna thread mtu anajipongeza kafikisha miaka kadhaa jf akataja forum za jf makapuku ikiwepo auntie

Sasa akatokea mkuu anaitwa poker acha atuseme vibaya ooh makapuku ilikuwa zamani sasa hivi wamejazana mashangazi wameiteka forum tu uko wanapiga tu story zao hakuna cha maana nikajisemea tu kimya kimya hivi hata magazeti na habari tofauti zinazopostiwa hazioni

Na hapohapo huyu poker anakuja sana makapuku kusoma habari zinazopostiwa nilivyoona likes zake imebidi tu nimwambie kama kuna tulichomkosea mashangazi wa makapuku tunamuomba msamaha sana halafu asiwe na roho ya kuchukia watu ambao hawajui wala hawajamkosea chochote sisi mashangazi wa makapuku hatunaga shida na mtu tunaishi kwa upendo na furaha na yeyote yule

Imebidi nicheke bila kutarajia....

Sasa uzi kujaa Mashangazi wakajadili Issues zao nayo ni kitu ya kumfanya mtu hadi kutuandikia comment huko surely?

Anyway kama kuna kitu kingine tumemkosea tumuombe radhi pasipo hata kujua ni nini tumemkosea..

Ila story za Mashangazi ndiyo hatuachi.. Mashangazi tunakaribia kupokea Pension zetu...sasa anataka tujadili nini zaidi ya mipango mikakati ya kutumia Pension zetu

Mwisho... ila siyo mwisho kabisa...kwa niaba ya wote hapa nimkaribishe.. hapa kuna mengi ya kujifunza... AHSANTE..
 
Nina sababu ya kuandika vile sikukurupuka ila kama ilikukera niwie radhi. Nothing personal! Shunie
Sababu yako sisi mashangazi kupiga story zetu sasa ulitaka tukae tu kama mabubu tuweke magazeti na habari mchanganyiko tutoke mkuu usitupangie humu makapuku hili jukwaa watu tofauti wanakuja kusoma habari zinazopostiwa na we ukiwa mmojawapo tuache tu mashangazi wa makapuku tuishi tulivyozoea tupo kama ndugu humu hata kama baadhi hatujuani
 

Imebidi nicheke bila kutarajia....

Sasa uzi kujaa Mashangazi wakajadili Issues zao nayo ni kitu ya kumfanya mtu hadi kutuandikia comment huko surely?

Anyway kama kuna kitu kingine tumemkosea tumuombe radhi pasipo hata kujua ni nini tumemkosea..

Ila story za Mashangazi ndiyo hatuachi.. Mashangazi tunakaribia kupokea Pension zetu...sasa anataka tujadili nini zaidi ya mipango mikakati ya kutumia Pension zetu

Mwisho... ila siyo mwisho kabisa...kwa niaba ya wote hapa nimkaribishe.. hapa kuna mengi ya kujifunza... AHSANTE..
Auntie umemalizaaaa
 
Sababu yako sisi mashangazi kupiga story zetu sasa ulitaka tukae tu kama mabubu tuweke magazeti na habari mchanganyiko tutoke mkuu usitupangie humu makapuku hili jukwaa watu tofauti wanakuja kusoma habari zinazopostiwa na we ukiwa mmojawapo tuache tu mashangazi wa makapuku tuishi tulivyozoea tupo kama ndugu humu hata kama baadhi hatujuani
Acha kukuza mambo nishasema kama ilikukera niwie radhi! Nothing personal.
 
Unafahamu kuwa Kocha Mkuu mpya wa Chelsea, Graham Potter amewahi kuwa Mkurugenzi wa ufundi wa timu ya taifa ya wanawake Ghana
Screenshot_20220912-073427_OGInsta%2B.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom