Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Naaaaam....Aahh, mzee mwenzangu Unanikosea adabu, Utu uzima huu tena nitangaze.. I dont kiss n tell.
Hivyo ndiyo big boys wanapaswa kuwa Mzee mwenzangu.

Naaaaam....Aahh, mzee mwenzangu Unanikosea adabu, Utu uzima huu tena nitangaze.. I dont kiss n tell.

Tukaribishane basiweek end iko poa.hp nikutafuta ugali nyama choma na kuzimua

Sawa, jambo liendelee.Naaaaam....
Hivyo ndiyo big boys wanapaswa kuwa Mzee mwenzangu.![]()
hahahahaha,.ngoja niangalie chenji iliyobaki km inamudu kuarika mtuTukaribishane basi![]()
maisha mafupi lkn matamu.Maisha mafupi haya.
NaaaaaamSawa, jambo liendelee.

Aaaaaaah Swahiba..hahahahaha,.ngoja niangalie chenji iliyobaki km inamudu kuarika mtu
Useme kabisa game ni ya show game, exhibiition match, epl uefa champions league ndondo cup, ili tuchague venue iendane na mpambano.Naaaaaam![]()
Ni Uefa champions League final....Useme kabisa game ni ya show game, exhibiition match, epl uefa champions league ndondo cup, ili tuchague venue iendane na mpambano.

Umeenda sasa?Nirudi kulala sasa.leo jumuia itanisamehe
Nini kimetokea Auntie?Poker habari yako mkuu wangu hivi sisi mashangazi wa makapuku nini tumekukosea tukuombe hata msamaha kuna sehemu tuliona umetusema sana vibaya kupiga kwetu story ni shida kwako je hata habari tunazopost we huzioni kweli usiwe unatuchukia bila sababu mkuu usiwe na roho hiyo ya kuchukia watu tu mkuu sio vizuri kama kuna sehemu tuliwahi kukukosea sisi mashangazi wa makapuku tunaomba utusamehe.
Usimchukie hata siku moja mtu usiyemjua watu wenyewe tunaishi jf kwa I'd fake chuki ni kirusi kibaya sana mkuu kemea hiyo roho kama we ni mristo ikuondoke.
Mweh!!!

Mashangazi mnanyonya damu 😅😅😅😅Nini kimetokea Auntie?
Mashangazi tumefanyaje tena?Mweh!!!
Maana mahali niko saa hii hata kumwambia mtu "muone" siwezi![]()
hahahahahaha.Aaaaaaah Swahiba..
Hiyo nayo ni kitu ya kuangalia Surely????
swahibaUmeenda sasa?
🤠🤠🤠🤠🤠..Kumbaf We.![]()