Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baadhi ya watumishi wa umma wakitoa heshima zao wakati gari lililobeba jeneza lenye mwili Malkia Elizabeth II, likipita katika kijiji cha Ballater, Scotland kutoka katika kasri la Balmoral leo Septemba 11, 2022.

Jeneza hilo litasafirishwa kwa barabara kupitia miji na vijiji mbalimbali vya Scotland ili wananchi na watumishi wa umma watoe salamu zao za mwisho kwa aliyekuwa mtawala wao wa muda mrefu.

Mwili wa Malkia, ambaye alifariki Septemba 8, utapelekwa Ikulu ya Holyroodhouse katika mji mkuu wa Scotland, Edinburgh kabla ya kulala katika Kanisa Kuu la St Giles, kisha ya kusafirishwa kwenda jijini London kwa mazishi yatakayofanyika Septemba 19, mwaka huu.

Screenshot_20220912-090105_OGInsta%2B.jpg
 
Scandal24

FOOTBALL ECONOMY || Geita Hovyo kwa Branding
.
Siku moja pata nafasi uwasikilize watu wanaoizunguka Geita Gold Fc, wanavyoongelea uwekezaji wa katika mpira unaweza ukadhani wao ni Manchester City au Newcastle United. Halafu ukija kuwaona ni KAUZU FC au VIGUNDO ya Temeke Mabingwa wa #Ndondocup2021.
.
Muda tunavyoongea wapo Sudani na vyombo vya Huko vinasema Timu kubwa kutoka ukanda wa Madini nchini Tanzania ipo hapa kupambana na mwakilishi wetu. Lakini kiukweli ni timu ya Hovyo, isothamini biashara na washirika wake ma wala wao wenyewe hawajielewi wanafanya nini kwenye kitu kinaitwa BRANDING.
.
Hadi naingia mitamboni, wao ndio timu ya ligi kuu ilovaa hezi zenye #KitSupplier wote wakubwa duniani. Kwanza wao wana mkataba na #Masita lakini wamevaa jezi zenye #UhlSports, #NewBallance #Adidas na #Puma. Bila woga kwenye mechi moja wanavaa Jezi zenye Kit Supplier wawili tofauti. Bila woga George Mpole kashika Mpira wa Masita jezi ya Puma na bango masita. Wanaishi Dunia yao.
.
Sasa huwa najiuliza, kwa nini wanaogopa kuwapa vijana kazi katika vilabu vyao..? Vijana wenye exposure na uwezo wa Kufanya mambo..! Lakini hawataki kutoa mashavu na matokeo yake ni aibu kwa Taifa zima, huko wanajiuliza maswali mengi sana lakini sisi hatujali. Hao Masita wanatamani kuondoka Nchi hii maana mizengwe ya MATUSI YA KIBIASHARA haikomi. Maana wanachokifanya Geita ni kuwadharau Masita licha ya Mapungufu ya kuchelewesha Vifaa kwa MASITA.
.
Che Guevara
.
NB
Weka Maneno
.View attachment 2352124View attachment 2352125View attachment 2352126View attachment 2352127
hawa jamaa niliwakukutana nao,nikaongea nao deal,kilichofuata hadithi
 

Imebidi nicheke bila kutarajia....

Sasa uzi kujaa Mashangazi wakajadili Issues zao nayo ni kitu ya kumfanya mtu hadi kutuandikia comment huko surely?

Anyway kama kuna kitu kingine tumemkosea tumuombe radhi pasipo hata kujua ni nini tumemkosea..

Ila story za Mashangazi ndiyo hatuachi.. Mashangazi tunakaribia kupokea Pension zetu...sasa anataka tujadili nini zaidi ya mipango mikakati ya kutumia Pension zetu

Mwisho... ila siyo mwisho kabisa...kwa niaba ya wote hapa nimkaribishe.. hapa kuna mengi ya kujifunza... AHSANTE..
Aliyeandika hapa ni shangazi? Basi naomba kuwa mjomba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom