Mwee, na usingizi wenyewe sina
Ndan wanategesha kamera ah maaskari wanakuwa wanapiga watu chabo? 😂
This is not goodWhatsApp wameachia uwezo mpya ambao unawawezesha "admins" wa makundi kuweza kufuta ujumbe wowote uliotumwa kwenye kundi.
Admin ataweza kufuta ujumbe ndani ya siku 02 tangu ujumbe ulipotumwa! na watu wataweza kuona taarifa ya ujumbe kufutwa na admin yupi aliyefanya hivyo!View attachment 2353179
Bora wangetoa kipengele cha kuonyesha admin gani kafutaThis is not good
hahahaha.hata sie wajomba na wazee wa makapuku hatuna shida na mtu kabisaHata kumwambia mtu muone huwezi auntie nimecheka sanaaa
Bwana juzi kati nilikuwa chit chat nimepita tu kimyakimya kuna thread mtu anajipongeza kafikisha miaka kadhaa jf akataja forum za jf makapuku ikiwepo auntie
Sasa akatokea mkuu anaitwa poker acha atuseme vibaya ooh makapuku ilikuwa zamani sasa hivi wamejazana mashangazi wameiteka forum tu uko wanapiga tu story zao hakuna cha maana nikajisemea tu kimya kimya hivi hata magazeti na habari tofauti zinazopostiwa hazioni
Na hapohapo huyu poker anakuja sana makapuku kusoma habari zinazopostiwa nilivyoona likes zake imebidi tu nimwambie kama kuna tulichomkosea mashangazi wa makapuku tunamuomba msamaha sana halafu asiwe na roho ya kuchukia watu ambao hawajui wala hawajamkosea chochote sisi mashangazi wa makapuku hatunaga shida na mtu tunaishi kwa upendo na furaha na yeyote yule
hahahaha.we ni admin wa group nn shangazi ?Bora wangetoa kipengele cha kuonyesha admin gani kafuta
Ni admin wa group la familiahahahaha.we ni admin wa group nn shangazi ?
Hahahah nimefurahi kusikia hivyo we mzeehahahaha.hata sie wajomba na wazee wa makapuku hatuna shida na mtu kabisa
haahahaha.shangazi tuko pamoja.watuache na mtaa wetu tulivuHahahah nimefurahi kusikia hivyo we mzee
oh hapo sawa.nilijua lako,niombe kujoinNi admin wa group la familia
Hapana aiseee sinaga hizo mambo we mzee kwanza nachukia group sanaoh hapo sawa.nilijua lako,niombe kujoin
Ukisikia " kula kwa macho" ndio huko sasa
Hii kweli kabisa, sikuwa najua, ila huwa nikiamka nikivamia kipolo cha wali asubuhi kikiwa cha baridi na asali huwa namaliza kila kitu.. 🤠🤠
Kama hayupo Kiba na Tembo batili hii