Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Yaani hapo ndio anapokamatwa
Kama furushi analipenda mno.
Yaani hapo ndio anapokamatwa
Kama furushi analipenda mno.
Mzima kabisa wewe jeAhsante Shem...
Habari ya uzima wako?
Wewe endelea kucheka tu

Na NO. Zako anazo.Nimechoka toka uanze kusema unanimiss mwaka sasa ninapopatikana unapajua

Nachezea bahatiiiii ....ngojaa nijiandae kwendaaWewe endelea kucheka tu![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shem mchokoziiNa NO. Zako anazo.![]()
Ahsante Shem wangu.. nafurahi tena kukuona hapa..Salam zako binamu obe kazifikisha asantee
Auntie ongea wewe akija makapuku kila siku namissiwaNa NO. Zako anazo.![]()
Kwa kweli..Ila haifikii ya mwanzo
...Mweeh!!!Nafuta undugu na nyie.Auntie usighairi sisi ndugu zako ujue
Ukifa narithi magramu.Yaani kiukweli nimetamani nyama ipo siku zitaniua mimi sio kwa uroho huu
Nilipita kusalimiaAhsante Shem wangu.. nafurahi tena kukuona hapa..
Hapana auntie.Kwa I'd nyingine auntie tusioijua si eti
Atakuwa na yule babe wake kisirani mwenzie.Sasa tutamwachaje peke yake sio vizuri
Hayo majukumu yanasubiri mimi sipo si ndio?Sawa kichwa changu kama stafeli sikatai
Sikuvizia haupo jamani....Majukumu yalinileta... nilitamani ungewepo nicheke mie.
Ila bado tuna jambo letu... Usiniangushe...


Lipo limetulia hata haliendi mahali
Halijanikosea kitu.. ila litulize![]()

Si ndio
Sasa hiyo nayo ni shida?
