Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamani leo nimesema wacha nitumie Browser[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitu nakutana nacho huku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Najikuta nimequote comment moja zaidi ya mara kumi[emoji28]
Sehemu ya kufuta sioni... inabidi nirudi back naquote tena...Aloooooooh!!!
Watu wa Browser wanawezaje haya makitu[emoji1787]
Basi mimi huu muonekano wa sasa wa browser naona ndiyo una nafuu kidogo

Siku hizi natumia kote kote maana app nayo ndiyo kama wameisusa

Notifications bado ni janga kubwa mno yani
 
Kwamba unaniona Mikocheni Mara ya tatu hii?[emoji23][emoji23][emoji23]Dah!!! Huyo unayemuona usinifananishe naye kabisa...

Jioni niwe wapi ndugu? Najua wewe Weekend end yako ni J3[emoji23][emoji3]Enjoy...

Umeshafika 25?
Bado kabisa ndio kwanza 17.5😀😀

Pale maeneo flani.. leo ulikuwa unatokea wapi tumepishana chalinze pale

Heshima yako Boss
 
Back
Top Bottom