Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Kipindi kile kweli tulikuwa hatuna amaniOooh!! Hapo sawa![]()
Kipindi kile kweli tulikuwa hatuna amaniOooh!! Hapo sawa![]()
😅😅😅Kumbe nawe unaomba
Basi ndio maana mambo hayaendi, we maombi yako hayavuki hata bati.
Vidio call na sura yake pana anajaa mwenyewe kwenye camera, nipigie mwenyewe bwana.kwani hizo auntie we hazijakufikia nitamwambia auntie makii apige video call atuunge wote wa3 si utakuwa umerishika auntie yangu
YaaniKipindi kile kweli tulikuwa hatuna amani



Achana na kuombea mambo yangu, unayakwamisha tu.
Nitakie radhi we Mdada...
Vidio call na sura yake pana anajaa mwenyewe kwenye camera, nipigie mwenyewe bwana.
Pamoja na vidio kolu ila nazitaka.



hapo kwenye sura pana auntie bwana tunajaa wote wala sio auntie makii tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣We una matatizo makubwa, na anayekuombea naye ndio vile tena![]()
Yaani
Furaha ingetoka wapi kwamfano!!



yale maisha sitaki hata kuyakumbukaWeeeh!! Yule anajaza peke yake nakwambia. Akinipigiaga naishia kuona pua na mdomo tu.hapo kwenye sura pana auntie bwana tunajaa wote wala sio auntie makii tu
Tena kama wewe...Inabidi nikufanye kuwa prayer point kabisa...Achana na kuombea mambo yangu, unayakwamisha tu.
Auntie kwa huyo hapana.. siwezi kuchezea bundle langu🤣Labda mwingine..kwani hizo auntie we hazijakufikia nitamwambia auntie makii apige video call atuunge wote wa3 si utakuwa umeridhika auntie yangu
Auntie unaona sasa mazarau yake?😀😀😀Vidio call na sura yake pana anajaa mwenyewe kwenye camera, nipigie mwenyewe bwana.
Pamoja na vidio kolu ila nazitaka.
Nilikwambia uniombee kitambi kiishe ukashindwa, sasa nitakuaminije tena uniombeeTena kama wewe...Inabidi nikufanye kuwa prayer point kabisa...
Maana unanileteage mabalaa sana![]()



Bando which, who,whereAuntie kwa huyo hapana.. siwezi kuchezea bundle languLabda mwingine..


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwenye sura pana auntie bwana tunajaa wote wala sio auntie makii tu
Dada yangu mzuri mzuri, shikamoo!Auntie unaona sasa mazarau yake?![]()


