m sio mwandikaji mzuri btw natamani ujue kilichotokea after pale nlinunua karanga nkawa na uza na ndo ukawa mwanzo wa kukutana na watu mbali mbali nkapata wazo la kwenda veta kupitia nlijibana bana nkapata kama 160k nkaja veta na hayo mambo mengne nkamuachia mungu sahv nasubr matokeo mwezi wa 6 inshaalah naenda kumaliza mwaka wa 3 pamoja na kua sina ada naamin kama iliwezekana kujisomesha miaka miwili kwa vibarua vya kulima na kupalilia na saiv ntaweza pia japo kwa sasa hv nna changamoto ya mkono btw naamini everything will be ok yote kwa yote nashkuru pengne 6k uliona ni ndogo btw kwangu ilifumbua macho mungu akujaalie maisha marefu