Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Hahaha tunasemaga p2 fake kumbe siku 5 hazifanyi kazi






Mambo kwa ground yapo tight sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha tunasemaga p2 fake kumbe siku 5 hazifanyi kazi










sana auntie yaani P2 zinauaga kututenda tunajua fake kumbe siku ni 5 sio 3Hahaha tunasemaga p2 fake kumbe siku 5 hazifanyi kazi




kwa kweli yaan
Ukiwa na shida mimi njo apa makapuku napatikana mda wote usijali uwe na amani kabisaSawa nashkuru walau nimepata nafasi hii nlijarbu kukutafuta ila jitihada zikagonga mwamba hz smart kitoch kuna muda zinasumbua sana

Ngoja niseme kitu kuhusu Romelu Lukaku, kwanza si mshambuliaji mbaya, nenda katazame namba zake, mfungaji bora wa muda wa Ubelgiji akiwa na magoli 67, hakuna namna yeyote unaweza kusema Lukaku ni mshambuliaji mbaya wakati namba zake ni nzuri.
Tatizo ni style of play, kinachomkuta sasa Lukaku ndani ya Chelsea kinafanana na alichokipitia ndani ya Man United, kipindi kile United ilikuwa ikicheza katika mfumo wa 4-2-3-1, timu ilitakiwa kubaki chini muda mwingi na ishambulie kwa counter attacks.
Mawinga walitakiwa kufanya mikimbio kwenye nafasi ambazo zinaachwa baada ya walinzi wa timu pinzani kutoka kwenye position yao, Lukaku alitakiwa kufanya link up play, Lukaku alifeli hapa na kuonekana mchezaji wa hovyo, akaondoka ndani ya United.
Chelsea inacheza katika system ya 3-4-2-1, wanatumia wing backs katika asilimia kubwa ya kutengeneza mashambulizi, mshambuliaji wa kati anatakiwa afanye mikimbio kwenye final zone, asisimame tu na kusubiri kuuweka mpira wavuni.
Unajua kwanini Ki Havertz anakuwa bora mbele ya Lukaku? kwa sababu Kai hasimami tu, atashuka chini na kutengeneza link up play, anavunja mstari wa ulinzi wa timu pinzani kwa kumlazimisha beki wa kati atoke kwenye eneo lake ( positional play ).
Lukaku alifanya vizuri ndani ya Inter Milan kwa sababu alikuwa bosi kwenye final zone, timu ilicheza kwa kumzunguka yeye, alisimama kwenye nafasi na kufunga, hivyo tu na hata kule Belgium anacheza hivi, tumeelewana?.
Ndoto sio kuzikalia skani ukilia lia, ndoto ni kuamka mbio kuzikimbilia

Farhan jr
Nani anakuenjoisha totooNyieeeee naenjoy mimi na maisha yangu mwenzenu.![]()
sana auntie yaani P2 zinauaga kututenda tunajua fake kumbe siku ni 5 sio 3








Hahahhah kweli auntie nina ushuhuda nazo hizo nina watu kama wawili wana watoto na p2 wamemeza
Hahahhah kweli auntie nina ushuhuda nazo hizo nina watu kama wawili wana watoto na p2 wamemeza






Mimi bwana kuna siku zilinitenda toka siku hiyo nikasema sitazinywa tena tarehe yangu ilivurugika na kuingia period mara mbili kwa mwezi ile siku sitasahau