Makapuku Forum

Makapuku Forum

TAKUKURU YAINGILIA KATI SAKATA LA MAKONDA NA GHALIB SAID MOHAMED
-
Serikali imesema inachunguza sakata la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Dar, Paul Makonda na Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) kugombea kiwanja Na. 60 kilichopo Regent Estate, Manispaa ya Kinondoni
-
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU), Salum Hamduni amethibitisha kulifanyia kazi suala hilo ikiwemo kufanya uchunguzi
-
Naye, Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar, Idrisa Kayera amesema vyombo Mamlaka zinachunguza suala hilo, ikielezwa Ghalib alishatoa taarifa kuhusu kupotea Hati ya kiwanja hicho, na alipewa Nakala ya uthibitisho mwingine, akafuata taratibu za kupata hati nyingine
Screenshot_20220317-141326_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom