Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Hahahah itakuwa kazoea kupangwa usisahau na hela za jezihahahahahha atapata mbonaa,,au kazoea kupangwa



Hahahah itakuwa kazoea kupangwa usisahau na hela za jezihahahahahha atapata mbonaa,,au kazoea kupangwa



Auntie...Auntie yangu na wewe nani amekuteka eti Makiwendo
Imagine kuwahi kuamka...na uchelewe kulala..Ukubwa unakuja na Mengi Auntie..
Jamani auntie nimekumiss mimi

Haahah basi naacha auntie
Pole sana auntie ndio ukubwa huoAuntie...
Ni Majukumu yameniteka Mama..
Hii wiki hiiImagine kuwahi kuamka...na uchelewe kulala..Ukubwa unakuja na Mengi Auntie..
Wewe unaendeleaje lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujambo kabisa auntie akee hofu kwako tu
Nakumiss zaidi Auntie..Jamani auntie nimekumiss mimi
Nani alikuteka hivi

Nakumiss zaidi Auntie..
Hiyo Avatar hiyo..Take Us Slow Auntie..Abeggggg.
Sent using Jamii Forums mobile app



Basi naitoa auntie nairudisha ya zamani
Usiache jamani...Haahah basi naacha auntie

Ahsante sana Auntie wangu mzuri mzuri..Pole sana auntie ndio ukubwa huo
Mimi sijambo kabisa Auntie..Hatujambo kabisa auntie akee hofu kwako tu
Usiitoe naomba..Ikae hiyo hiyo.Basi naitoa auntie nairudisha ya zamani

Hhaahhaha sawa auntie weka eti inapendezesha uzi auntie bwanaUsiache jamani...
Inapendezesha Uzi Auntie...
Ngoja nikitulia nami naweka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app


Nimefurahi auntie kukuona
Hahahahah basi auntie siitoi
Hahahah itakuwa kazoea kupangwa usisahau na hela za jezi![]()