Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
naanzajee kusahauHahahah itakuwa kazoea kupangwa usisahau na hela za jezi![]()
naanzajee kusahauHahahah itakuwa kazoea kupangwa usisahau na hela za jezi![]()
Hhaahhaha sawa auntie weka eti inapendezesha uzi auntie bwana


Auntie!!!!!!!!Shunie una deni kubwa sana maishani mwangu miaka kadhaa nyuma ulinisaidia kiasi fulani cha pesa nkafanya biashara nikapata ada for now nko veta mwaka wa tatu japo nna hali ngumu bd but one day ntafanya k2
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wewe
Ameen mkuuShunie una deni kubwa sana maishani mwangu miaka kadhaa nyuma ulinisaidia kiasi fulani cha pesa nkafanya biashara nikapata ada for now nko veta mwaka wa tatu japo nna hali ngumu bd but one day ntafanya k2

Mungu azidi kukubariki tu kila siku na usikate tamaa kabisa ya maisha tupo pamoja
Hahahahah nakupa muda auntie
Ameen auntie tubarikiwe soteAuntie!!!!!!!!
Nimesoma kwa hisia sana..
Mungu na Akubariki Mama...Kapu lako lisipunguke..
Dunia Inawahitaji watu kama wewe wengi sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
ni wachache wanaorudi na fadhila kama hivi
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰Ameen auntie tubarikiwe soteni wachache wanaorudi na fadhila kama hivi
Halafu wala sikumbuki ujue nimesadia baadhi ya watu jf yani sikumbuki hata nikimsaidia mtu namsaidia kwa roho moja
Kabisa Auntie...Ameen auntie tubarikiwe soteni wachache wanaorudi na fadhila kama hivi
Halafu wala sikumbuki ujue nimesadia baadhi ya watu jf yani sikumbuki hata nikimsaidia mtu namsaidia kwa roho moja
Ameen AuntieKabisa Auntie...
Hiyo ni sadaka yako kwa Mungu...
Nimesoma kwa hisia mno hadi machozi yamenilenga..
Barikiwa tu Auntie..Tusiache kutenda mema.ili hii Dunia Iwe sehemu salama ya kuishi..
NAKUPENDA..
Sent using Jamii Forums mobile app


m sio mwandikaji mzuri btw natamani ujue kilichotokea after pale nlinunua karanga nkawa na uza na ndo ukawa mwanzo wa kukutana na watu mbali mbali nkapata wazo la kwenda veta kupitia nlijibana bana nkapata kama 160k nkaja veta na hayo mambo mengne nkamuachia mungu sahv nasubr matokeo mwezi wa 6 inshaalah naenda kumaliza mwaka wa 3 pamoja na kua sina ada naamin kama iliwezekana kujisomesha miaka miwili kwa vibarua vya kulima na kupalilia na saiv ntaweza pia japo kwa sasa hv nna changamoto ya mkono btw naamini everything will be ok yote kwa yote nashkuru pengne 6k uliona ni ndogo btw kwangu ilifumbua macho mungu akujaalie maisha marefuAmeen mkuuMungu azidi kukubariki tu kila siku na usikate tamaa kabisa ya maisha tupo pamoja