Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Au ananitafuta mimiUkiwa na shida mimi njo apa makapuku napatikana mda wote usijali uwe na amani kabisa
Au ananitafuta mimiUkiwa na shida mimi njo apa makapuku napatikana mda wote usijali uwe na amani kabisa
Eenh akutafute weweAu ananitafuta mimi
Nimetaka kucheka Auntie..il imenibidi kubana kicheko hapa..Mimi bwana kuna siku zilinitenda toka siku hiyo nikasema sitazinywa tena tarehe yangu ilivurugika na kuingia period mara mbili kwa mwezi ile siku sitasahau
Nimetaka kucheka Auntie..il imenibidi kubana kicheko hapa..
Hebu tumalize Kwaresma kwanza Aunty Akee..
Sent using Jamii Forums mobile app







yaani bora ninywe maji mengi au coca sijui pepsi au fragily sio hizo p2 sitaki hata kuzionayaani bora ninywe maji mengi au coca sijui pepsi au fragily sio hizo p2 sitaki hata kuziona









Limeishaaa hiloooEenh akutafute wewe
Nimecheka...Halafu hizo za Caca na Maji nimezisikia sana Auntie..
Hebi uje unipee "Mbunu" Maana Wa'Tanga mna mambo yenu nyie
Sent using Jamii Forums mobile app


maji mengi ya baridi litre 1 na nusu au mbili auntieWeeeeeee!!!maji mengi ya baridi litre 1 na nusu au mbili auntie

Hahahahha nipo nasubiri auntie mrejesho
Hahahhaha sanaaaa
Hahahhaha sanaaaa
Nipo apaBabeee
Nipo apa