Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mwaka 1995, Sonny Graham (mgonjwa wa Moyo) akiwa amebakisha miezi 6 tu ya kuishi kutokana na tatizo la moyo lililokuwa likimsumbua, alipata bahati ya kupandikiziwa moyo wa Terry Cottle ambaye alijiua kwa kujipiga risasi kichwani.
Baada ya Sonny kupona, mwaka 1997 alikutana na Cherly Cottle (mke wa Terry Cottle) kwaajili ya kumshukuru kwa kukubali kumsaidia kupandikiziwa Moyo wa mume wake (Terry). Baada ya kukutana walijikuta wakiingia penzini na Sonny aliamua kumuoa Cherly Cottle(Mke wa Terry Cottte) na wakafunga ndoa mwaka 2004.
Miaka minne baadae Sonny na yeye alijiua kwa kujipiga risasi vile vile kama ilivyokuwa kwa Terry miaka 12 iliyopita na kumwacha Cherly akiwa mjane kwa mara nyingine tena.
Baada ya Sonny kupona, mwaka 1997 alikutana na Cherly Cottle (mke wa Terry Cottle) kwaajili ya kumshukuru kwa kukubali kumsaidia kupandikiziwa Moyo wa mume wake (Terry). Baada ya kukutana walijikuta wakiingia penzini na Sonny aliamua kumuoa Cherly Cottle(Mke wa Terry Cottte) na wakafunga ndoa mwaka 2004.
Miaka minne baadae Sonny na yeye alijiua kwa kujipiga risasi vile vile kama ilivyokuwa kwa Terry miaka 12 iliyopita na kumwacha Cherly akiwa mjane kwa mara nyingine tena.

