Makapuku Forum

Makapuku Forum

20210428_204703.jpg
 
Achana na yule mfungwa aliyetaka kutoroka na kuibukia katika ofisi ya walinzi wa gereza, kuna huyu hapa mwingine.

Mfungwa mmoja raia wa Brazil aliyefahamika kwa jina la Raphel Valadao na wafungwa wenzake walichimba shimo kwa takribani miaka 5 kwaajili ya kutoroka gerezani.

Ilipofika siku ya kutoroka Raphel alinasa, huku nusu ya mwili wake tayari ilikuwa nje lakini nusu iliyobaki haikuweza kupita. Alijaribu kila awezalo, lakini hakuweza kupita kwa sababu alikuwa amekwama.

Hakuwa na njia nyingine ya kujisaidia zaidi ya kupiga kelele kuomba msaada. Ndipo, walinzi wa gereza waliokuwa karibu wakamsikia na kumsaidia kumtoa.
20210428_204915.jpg
 
Vita vya Anglo-Zanzibar (Anglo-Zanzibar war) vilikuwa vita vya kijeshi vilivyopiganwa kati ya Uingereza na Sultan Barghash wa Zanzibar tarehe 27 Agosti 1896.

Vita hivyo vilidumu kwa takribani dakika 45 na kuweka rekodi ya kuwa vita fupi zaidi kuwahi kupiganwa katika historia.

Sababu ya kutokea vita hivi ilikuwa kifo cha Sultan aliyewekwa na waingereza Hamad bin Thuwaini mnamo 25 Agosti 1896 na mrithi aliyefuata Sultan Khalid bin Barghash ambaye hakutakiwa na Waingereza.

Waingereza walipendelea Hamud bin Muhammed kuwa mrithi wa Sultan kwasababu alikuwa anaweka mbele zaidi masilahi ya waingereza.

Kwa mujibu wa mkataba uliotiwa saini mwaka 1886, sharti la kutawazwa kwa usultani ilikuwa lazima Sultan apate idhini ya balozi wa Waingereza, lakini Khalid bin Barghash alikaidi makubaliano hayo.
20210428_205319.jpg
 
Madaktari walipomuhoji kuhusu namna gani Condom hiyo iliweza kuingia kwenye mapafu, Mwanamke alieleza kwamba iliingia kwa bahati mbaya alipokuwa akifanya mapenzi kwa njia ya mdomo (Oral sex) na mwanaume wake.
20210428_205713.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom