Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Alidandia gari kwa mbele,hajui anaweza gongwa akakufaSijakuelewa hata nilichokujibu na unachoniuliza tofauti

Alidandia gari kwa mbele,hajui anaweza gongwa akakufaSijakuelewa hata nilichokujibu na unachoniuliza tofauti

Marhaba umeamkaje MjombaShikamoo mjomba yao watu
Nakusalimia dada angu?
Kwema huko?
Kwema mjombaKumekuchaaa salanaa ndugu
Una kesiiiiKwema mjomba
Hahaha shangazi sio mm huyo,unanifahamu vzr ,,acha tusikilize upako bhana

Nipo poa mjomba,habar za uzima?Mjomba mjombaaa nakusalimiaa
Kesi ipi tena?Una kesiiii
Mim mzima kabisaaaaaa...vipiiii uliyetokomea nae jana umemponeshaaaNipo poa mjomba,habar za uzima?
Sasa hivi najifanyia uteuzi mwenyewe!![]()
Sisi tunaita season,,zile zimewekwa maneno ya kiswahili na dj afro
Naifahamu shangazi,,sema siipendi na sijawahi kuitizama hata mara moja baada ya kuona maudhui yake kwenye trela
Kuna nyingine pia ipo kama empire,inaitwa STAR pamoja na Dynasty,,,kama umeipenda empire hata hz pia utazpenda sana.

Umeamshwaaa salamaa ankaliii mzeee wa churaaSasa hivi najifanyia uteuzi mwenyewe!![]()
MfyuuuuMshakunakuuuu wanguu mpambe nuks za asbh